naombeni maoni yenu katika hili

hivi utamuelewa vp mpnz wako endapo amekuta msg za mapenzi ulizokuwa unachat na mtg mwingine na hakuulizi kabisa na umemuona akizisoma

vitu vingine vya kujipa presha bure , asa AUDITING YA MESSAGE YA NINI SASA , cha mtu ma.i , ni busara kunyamaza tuu ukikutana na kitu dizaini hiyo ila dah kushika simu ya mtu mi naona utakufa siku si zako kama unamtrust no need ya kushika simu ya mpenzi wako , kama akiamua kukucheat atakucheat tu anaweza hata kuhamia hukohuko asa kama amecheat kwa tu message tu afu bado akarudi si bora ushukuru Mungu kuliko angeondoka moja kwa moja, mi naona kuchokoroa simu ya mpenzi wako it's not a big deal kabisa . bora tu utulie kiherehere somtimes huwa kina cost jaman hhee
 
vitu vingine vya kujipa
presha bure , asa AUDITING YA MESSAGE YA NINI SASA , cha mtu ma.i ,
ni busara kunyamaza tuu ukikutana na kitu dizaini hiyo ila dah kushika
simu ya mtu mi naona utakufa siku si zako kama unamtrust no need ya
kushika simu ya mpenzi wako , kama akiamua kukucheat atakucheat tu
anaweza hata kuhamia hukohuko asa kama amecheat kwa tu message tu afu
bado akarudi si bora ushukuru Mungu kuliko angeondoka moja kwa moja,
mi naona kuchokoroa simu ya mpenzi wako it's not a big deal kabisa .
bora tu utulie kiherehere somtimes huwa kina cost jaman hhee

mi naona ni vizuri kama unakifua ,we huwa hugusi cm ya mpenzio?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom