afrique
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 509
- 135
- Thread starter
- #41
afrique..Je
ni mara ya kwanza kwa mpenzi wako kukutana na message za aina hio? Kama
si mara ya kwanza...Akili kum-kichwa...kachoka kuongea mtoto wa watu
hivyo ujipange kama unataka huu uhusiano udumu!! Kama ni mara ya kwanza
na unajua ni ya mwisho, muombe msamaha muyamalize so life
can go on!
ni mara ya kwanza lol,hatoi nafasi ya kuelezwa kitu,muda umepita sasa yuko tu kimya
Last edited by a moderator: