Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Last edited by a moderator:
Hahahahaha...mdokozi wa sukari na maandazi enzi za utoto utamjua tu...khaa! Manake tabia zao na vikojozi hazitofautiani sana...........hahahahha Gotchaa!!!
Wa nini sasa?
Mkuda wewe, kwanza hapo unanifagilia si ataona ninavyopinga uzinzi na kuepuka vishawishi! LOL
Hahahahaha...mdokozi wa sukari na maandazi enzi za utoto utamjua tu...khaa! Manake tabia zao na vikojozi hazitofautiani sana...........hahahahha Gotchaa!!!
Backhanded compliment, Asante mwaya! Ngoja nikaandae Mazingira ili Eiyer akitoka kuponda kokoto asipate nafasi ya kuingia MMU.
Kwanza nimekumbuka udi umeisha, nije unipatie japo kiduchu?
Ijia, nao wa AJMAL
Ila leo mwisho kuazima udi wangu
Cha kuchomea unacho? Au bado watumia vile vya mkaa?
mi naona ni vizuri kama unakifua ,we huwa hugusi cm ya mpenzio?
And I will marry you again and again and again!! Until death do us apart.
Kaunga, u know very well kuwa hakuna uwezekano wa kupata kila kitu kwa mtu mmoja...wisdom has it that 'diversification is better' ...so kwa hapo Asprin bado ako sawa kabisa. sasa upo tayari "kumsulubisha" Eiyer na kumfungulia baraba wetu Asprin?Was l talking to you?
Mwache mwenyewe achague, kati ya kitu adimu kama Kaunga au vitu vya kawaida kama vya kwenu.
Kaizer dearest, dont you think l am worthy that small sacrifice? Wewe huoni kuwa na wake zaidi ya 3 maana yake hajapata mmoja mwenye combination ya kila kitu, hivyo anaishia kupata a bit of everything from them all na bado hajaridhika!
Hommie.... kikombe alichonipa baba sitakinywa?
Hu has riten dhat? God has not gotten a pen.