Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,837
- 285,028
CCM wameuwa SUKITA mali yao wenyewe ndio sembuse mnawakabidhi mali ya umma? Tumeliwa.
Wasifu wa Komba umeuweka kiustadi kabisa tena umesahau tu siyo tu kauwa TOT bali hata ile shule aliyojengewa bure na Bakili Muluzi nayo imemshinda. Huyu hakuna anachoweza zaidi ya kupayuka.
nimepata dawa yake , AKING'OLEWA UBUNGE TU TUNAZIKA .