Naomben ushauri nahisi kuchaganyikiwa

Naomben ushauri nahisi kuchaganyikiwa

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ mwenye kipato cha kati, kinachonichaganya umri unazidi kwenda sina mchumba wala mpenzi wa kuoa kila nikijaribu kuwa kwenye mahusiano mara nyingi nikitongoza huwa nakataliwa mpaka nahisi huenda ninagundu .Nataman sana ningekuwa na mtoto upande wa huduma nikiwa kwenye mahusian huwa nahudumia vzr nikiombwa pesa natoa ila kudumu kwenye mahusiano ndo sidumu kuna muda nawaza niende kwa waganga .Naomben wakunisaidia mnisaidie angalau kwa mawazo tu
Muonekano vipi?
 
Huna pesaa wee, em tafuta huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28] day and night ..,get rich or die tryin

unanikumbusha dem wangu wa kimarangu aseee ndio misemo yake iyo .., anataka niwe na tv inch kubwa 55 kwenda mbele uko ...[emoji1787][emoji1787]
 
[emoji28][emoji28] day and night ..,get rich or die tryin

unanikumbusha dem wangu wa kimarangu aseee ndio misemo yake iyo .., anataka niwe na tv inch kubwa 55 kwenda mbele uko ...[emoji1787][emoji1787]
Hina pesaa wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukizipataa wee mwenyewe utaonaa.
 
Mimi nina swali moja tu mengine yatakuwa ushauri. Swali ni;

Vipi usafi wa nafsi na mwili wako unauzingatia?, yaani kuoga, kukata nywele, kubalance ndevu, nguo nadhifu, unyunyu kidogo, viatu na soksi safi unazingatia au ndio tia maji tia maji Mkuu?, vipi unaishi misingi ya imani yako kweli?, sio lazima kuhudhuria ibada.sana ila vipi unaiishi misingi ya maadili?

Mimi nadhani zingatia hapo sana alafu pili usiwe na time na wanawake wewe focus kwenye mishe zako, jua wanawake nao wanapenda na kutamani pia so kama ukikaa kiume mtaani au kazin kwenu yupo atakayekupenda au kukutamani sasa kazi itakuwa kwako.

Kula vizuri, tunza afya yako uwe fit kitandani sio tia maji tia maji watakukimbia tu, wanawake wanapenda mapenzi sana ila wana enjoy sex na mtu msafi sasa jikadirie mwenyewe upo na mpangilio au ndio unaishi kama karunguyeye.

Kwa ufupi ni kuwa, hiyo hali yako unaisababisha wewe mwenyewe kwa 100% Mkuu. Ni chungu ila meza tu Mkuu no way out. 😂😂
 
Kama unayo hela
Nunua kiwanja haya cha 800 sqm halafu anza ujenzi hata mdogomdogo, ili mdada akikusumbua mwambie niko bize sana na mafundi 😂😂😂
Nunua gari hata used liwe safi.
Balance shobo
Vaa vizuri
Hudhuria ibada kwenye kanisa moja lenye mabinti wengiiiii. Halafu jichanganye humo kwenye magroup ya kanisani kisha weka dp ya sura yako. Halafu tulia tu usiwe na papara. Sikuhizi wasichana wanatongozaga wenyewe 😂😂😂 hasahasa usipokua na papara yaani jifunze kubalance shobo. Focus kwenye maisha yako. Wasichana siku hizi wanatongozaga sana wanaume 😂
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ mwenye kipato cha kati, kinachonichaganya umri unazidi kwenda sina mchumba wala mpenzi wa kuoa kila nikijaribu kuwa kwenye mahusiano mara nyingi nikitongoza huwa nakataliwa mpaka nahisi huenda ninagundu .Nataman sana ningekuwa na mtoto upande wa huduma nikiwa kwenye mahusian huwa nahudumia vzr nikiombwa pesa natoa ila kudumu kwenye mahusiano ndo sidumu kuna muda nawaza niende kwa waganga .Naomben wakunisaidia mnisaidie angalau kwa mawazo tu
i know wengi watakuja eti huna nguvu za kiume although ndo ujinga wa sasa hv mara nyeto mara hvi mawazo tu na ukizangatia life limekua gumu sana mpaka tunakosa vibe stay cool utamoata anayekufaa. mzee baba usijihis unyonge wala nini. brother.
 
Kwan ROBERT HERIEL Si alishatoa mwongozo kwenye ROADMAP ya 2023..
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ mwenye kipato cha kati, kinachonichaganya umri unazidi kwenda sina mchumba wala mpenzi wa kuoa kila nikijaribu kuwa kwenye mahusiano mara nyingi nikitongoza huwa nakataliwa mpaka nahisi huenda ninagundu .Nataman sana ningekuwa na mtoto upande wa huduma nikiwa kwenye mahusian huwa nahudumia vzr nikiombwa pesa natoa ila kudumu kwenye mahusiano ndo sidumu kuna muda nawaza niende kwa waganga .Naomben wakunisaidia mnisaidie angalau kwa mawazo tu
Muonekano wako ukoje,usafi wako wa mwili ukoje ,je una watokea mademu wa aina gani je ni wa level zako? Hayo maswali ndio muhimu sana kujiuliza, kuna uwezekano una fuata mademu ambao wewe sio type yao na ndio maana wana kuacha, jichunguze kwanza kwnye hayo ten ndio utajijibu hapo.
 
Back
Top Bottom