New HIZ O
Member
- Jun 1, 2022
- 40
- 65
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30+ mwenye kipato cha kati, kinachonichaganya umri unazidi kwenda sina mchumba wala mpenzi wa kuoa.
Kila nikijaribu kuwa kwenye mahusiano mara nyingi nikitongoza huwa nakataliwa mpaka nahisi huenda ninagundu, nataman sana ningekuwa na mtoto.
Upande wa huduma nikiwa kwenye mahusiano huwa nahudumia vizuri, nikiombwa pesa natoa ila kudumu kwenye mahusiano ndiyo sidumu. Kuna muda nawaza niende kwa waganga.
Naombeni wakunisaidia mnisaidie angalau kwa mawazo tu.
Kila nikijaribu kuwa kwenye mahusiano mara nyingi nikitongoza huwa nakataliwa mpaka nahisi huenda ninagundu, nataman sana ningekuwa na mtoto.
Upande wa huduma nikiwa kwenye mahusiano huwa nahudumia vizuri, nikiombwa pesa natoa ila kudumu kwenye mahusiano ndiyo sidumu. Kuna muda nawaza niende kwa waganga.
Naombeni wakunisaidia mnisaidie angalau kwa mawazo tu.