Kakijana
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 727
- 3,343
Unaweza kutupa mkataba wa Loliondo hapa mkuu?Jitokeze, mkuu. Nataka kesho tuanze mapinduzi kama yale ya West Afrikkka
Unaweza kutupa mkataba wa Loliondo hapa mkuu?Jitokeze, mkuu. Nataka kesho tuanze mapinduzi kama yale ya West Afrikkka
Tupe japo mkataba wa Loliondo mkuuTangu lini mkataba ukawa siri, mkuu? Which school did you go?
Tunaomba utuwekee hata mkataba wa Dangote tuu mkuu..kama sio ww ni chawa mzee wa propagandaTangu lini mkataba ukawa siri, mkuu? Which school did you go?
Saa100😳😳😳😳Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.
Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Hapa kuna jambo la kisheria linahitaji umakini mkubwa.Mkataba unasema hautavunjika kwa hali yoyote,Naomba tuelewe tafsiri hapo ya neno hali yoyote.Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.
Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Tupe japo mkataba wa Loliondo mkuu
Hiyo ni haki yako kikatiba kuwa nayo. Tofautisha kutowekwa public na kuwa siri. Hizo ni mambo mbili tofauti kabisa.Tunaomba utuwekee hata mkataba wa Dangote tuu mkuu..kama sio ww ni chawa mzee wa propaganda
Ni kwamba hili ni agano la damu, halina kutoka wala kukiuka.
Hata kesho jamaa wakiamua kuzuia watanzania kutotumia bandari hakuna wa kuhoji.
Haya mambo ya kunyofoa vipandebvya mkataba vipande tu vya vifungu yanaweza kusababisha tafsiri potofuu. Kwa hivyo, ni busara Kwanza kuona Kifungu cha 20 kinasemaje.Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.
Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
🤣🤣🤣🤣🤣🎂🎂Translation: Ndoa hii ikishafungwa, kamwe katu kabisa hakuna yeyote anayeweza kuibatilisha -- awe mtawala, rais, shekh, padre, kasisi, katekista, ama askofu -- hata kama pande hizi mbili zigombane na kuhasimiana kiasi cha kung'oana meno ama kunyweshana sumu.
CCM nichama cha watu wanaojua kujitoa ufahamu. Not for the National interest CCM party is there to practice herding behavior, herding behavior (a.k,a unyumbu) is an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objective or fearHuko Dodoma Speaker ameshaanza kuwaandaa wabunge kisaikolojia kwa namna ya kujadili, direction of discussion na sio kuwa na mawazo huru!
Speaker Rais PM Ni wajumbe wa CC ya chama, mbunge atakayeonesha kukerwa kwa namna yoyote au kujadili kwa matazamo tofauti au kuhoji Mambo yenye utata na kuamsha hisia za watanzania Walio wengi atakutana na rungu 2025!
Laiti kamantungekua na oppositi Bungeni wangesaidia kuraise concern lakini ndio hivyo kila aangalia meza yake kuliko maslahi ya taifa
Mlokua wapi kuhamasisha watu kuungana wakati ule binadamu wanaokotwa kwenye viroba kwenye fukwe za bahari,mje muungane sasa hivi,sukuma gangMaana yake Mkataba ni WA MILELE Si miaka 100 pekee.
Tuungane kukataa UOVU huu juu ya nchi yetu.
DuhMi ni mtaalam mzuri tu ila sitaki kabisa kujihusisha na hili suala maana tulipoambiwa kuna siku nchi itapigwa mnada tulidhani ni filamu ya pwagu na pwaguzi! Acha nchi iuzwe!
Yaani maamuzi haya hatakama yanamapungufu hayawezi kubatilishwa na mtu yoyote hata kama anajitambua🤣🤣🤣🤣🤣🎂🎂
Nadhani jamii mfu imeenza kufufuka, (kujitambua)Mlokua wapi kuhamasisha watu kuungana wakati ule binadamu wanaokotwa kwenye viroba kwenye fukwe za bahari,mje muungane sasa hivi,sukuma gang
Unauliza mavumbi stoo? hahaa, andazi VS.CCMKwa hiyo huu mkataba umebuniwa na wahuni ?
Yaani hawa sukuma gang wanataka kuwaaminisha watu kua hili la bandari ni Jambo ovu na baya sana kuliko yale maovu ya mwendazake kama kunyofoa roho za binadamu na mengine,halafu hata hili la bandari kama ingekua nyakati za tungefahamu baadae watu wameshamsainishana hakuna MTU angejua,hakuna mtu angebisha na lisingefanyiwa promo kiasi hikiNadhani jamii mfu imeenza kufufuka, (kujitambua)
Wewe ni matacleYaani hawa sukuma gang wanataka kuwaaminisha watu kua hili la bandari ni Jambo ovu na baya sana kuliko yale maovu ya mwendazake kama kunyofoa roho za binadamu na mengine,halafu hata hili la bandari kama ingekua nyakati za tungefahamu baadae watu wameshamsainishana hakuna MTU angejua,hakuna mtu angebisha na lisingefanyiwa promo kiasi hiki
Sawa msukumaWewe ni matacle