Naomba wa kunisaidia kutoa icloud kwenye Iphone

Simu za iphone ili kuiaccess sehemu zote inabidi uwe na apple id (kama gmail kwa android) ambayo utaifungulia hiyo icloud.
Kupitia icloud kama utawasha kitu kinaitwa 'find my phone' (tafuta simu yangu) utaweza kujua ilipo. Lakini pia atakayeiokota na kuirestore (kuifanya iwe kama imetoka dukani kwa kufuta settings na vitu vilivyomo) akiiwasha atafika sehemu ili simu ifanye kazi atatakiwa aingize hiyo icloud account.
Hua inakua ni email na password.

Hivyo hiyo simu yenye icloud utashindwa kuitumia, ndiyo maana wadau wanamwambia aitupe. Kiboko zaidi ni kua ukiiwasha tu yule anaweza kuiona mahali ilipo.
shukran mkuu..mekupata vizur sana
 
Huwezi kutoa iCloud kwenye iPhone afu hiyo iPhone I think ni yangu siyo iPhone 5C kweli ? Kama ni yenyewe njoo inbox
 
Icloud inatoka ila inachukua mda sana hdi ufanye ujanja ujanja mi na jamaa angu sema now yupo india ila anajua kuzitoa
Huwa anawasiliana apple wenyew anajua anavowaambia wanamtumia apple id na password
 
acha maneno mengi tuwekee source ya habari yako ili tuamin
ha maneno mengi yapi unit 8200.Mi cjui nani ameweka hii notion kuwa encryption ya iPhone iko unbreakable akati kampuni tu ya celebritte ilifanya the impossible sembuse hawa unit 8200 waliotengeneza stuxnet
 
Icloud inatoka ila inachukua mda sana hdi ufanye ujanja ujanja mi na jamaa angu sema now yupo india ila anajua kuzitoa
Huwa anawasiliana apple wenyew anajua anavowaambia wanamtumia apple id na password
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha, Hata ukienda kwa Tim Cook na list hakusaidii kitu, iPhone icloud activation inatolewa kwa kutoa chip kwenye simu na kuireset na kuna uwezekano isifanye kazi mazima lakini hakuna njia yoyote ile ya kuweza kutoa iphone icloud
 
ha maneno mengi yapi unit 8200.Mi cjui nani ameweka hii notion kuwa encryption ya iPhone iko unbreakable akati kampuni tu ya celebritte ilifanya the impossible sembuse hawa unit 8200 waliotengeneza stuxnet
Umeambiwa toa source ya habari sio supportive arguments
 
Soma hapo ....When Apple was made aware of the vulnerabilities in its iPhone, it acted quickly, patching the problem in 10 days and pushing out an update to all of its users. That has neutralised this specific attack, sure, but there'll likely be many more that remain hidden from view.
Nashukuru kwa uelewa wako mkubwa mkuu wa kutambua kuwa hamna kitu ambacho kiko 100% secured.Kama Na sisi tungekuwa serious Na system programming am sure tunaweza uncover hzo vulnerabilities
 
Back
Top Bottom