Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,006
- 306
Iphone kutoa icloud nani anaweza
kwani haiwezekani
Haiwezekani utaishia kutapeliwa tu, kama ulinunua mitaani au uliiba mrudishie mwenye nayo.kwani haiwezekani
Iphone kutoa icloud nani anaweza
mpe mtot achezee kama toy lakini usikubali kutoa pesa yako kudanganywa utatolewa i cloud...kama pesa yako haina kazi basi changia JfIphone kutoa icloud nani anaweza
Simu za iphone ili kuiaccess sehemu zote inabidi uwe na apple id (kama gmail kwa android) ambayo utaifungulia hiyo icloud.icloud ndo nn wakuu..tutoane ushamba kidogo na kujifunza
Iphone 4 na iphone 4s unaweza ukazitoa icloud. Google utapata maelekezo kama unaweza kwenda Kariakoo mtaa wa Aggrey kuna watu wanatoa ila ni kwa iphone hizo.mm naitoa tu
Iphone hizo wanazotoa za kichina sio zle wanazohangaika nazo FBISimu za iphone ili kuiaccess sehemu zote inabidi uwe na apple id (kama gmail kwa android) ambayo utaifungulia hiyo icloud.
Kupitia icloud kama utawasha kitu kinaitwa 'find my phone' (tafuta simu yangu) utaweza kujua ilipo. Lakini pia atakayeiokota na kuirestore (kuifanya iwe kama imetoka dukani kwa kufuta settings na vitu vilivyomo) akiiwasha atafika sehemu ili simu ifanye kazi atatakiwa aingize hiyo icloud account.
Hua inakua ni email na password.
Hivyo hiyo simu yenye icloud utashindwa kuitumia, ndiyo maana wadau wanamwambia aitupe. Kiboko zaidi ni kua ukiiwasha tu yule anaweza kuiona mahali ilipo.
Iphone 4 na iphone 4s unaweza ukazitoa icloud. Google utapata maelekezo kama unaweza kwenda Kariakoo mtaa wa Aggrey kuna watu wanatoa ila ni kwa iphone hizo.
Wewe unazotoa ni za nini? Za kichina au wanazohangaika nazo FBI?Iphone hizo wanazotoa za kichina sio zle wanazohangaika nazo FBI
mm naitoa tu