kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
umenipata mama.mimi mpole mwezako.Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
umenipata mama.mimi mpole mwezako.Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
@Asprini, hivi me ndo mwanaume? mie ke sori.
@Choosen mie ni ke.
Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
Bila shaka utaachana na hao kisha mimi, siku zote muafaka huwepo, fika mwafaka kisha endelea na facebook. huku hakufai kabisa bora hata facebook. Au ulifumaniwa katika facebook, eleza kwa uwazi kisha nitakupokea kifalme katika jamii hii uliyopo sasa
mwambie wewe ndo papaa fataki la fery aka papaa michemsho ,papaa mavocha papaa malunch na maddiner hapo amefika na walichomfanya fb ni cha mtoto wewe unaharibu kiukweli ila uzuri wako unarepair fastanalog offNaona umenigongea LIKE, ndo kusema tushakuwa marafiki siyo?Waambie kabisa hawa wasiopenda mimi na wewe tupendane.
Kiongozi mdogomdogo, utaharibu move.Hapo sasa tutaelewana. Ila inabidi uniambie kwanza upo wapi? Uniambie pia kama unatoa ushirikiano hasa unapohitajika!
Eish! Hizi bange za mchana bana!mwambie wewe ndo papaa fataki la fery aka papaa michemsho ,papaa mavocha papaa malunch na maddiner hapo amefika na walichomfanya fb ni cha mtoto wewe unaharibu kiukweli ila uzuri wako unarepair fastanalog off
wewe utamuona akija kaa pembeni taratibuSante. Rejao ni nani? kama ni men sitak men sampuli yoyote.
Eish kama hutaki men mbona mie ushanikubali? Ushahidi si huu hapa chini?Sante. Rejao ni nani? kama ni men sitak men sampuli yoyote.
Nawe umeshakua rafiki Asprini.
@Fidel, sante nimefarijika.
sana mwaya njoo huku nitakufundisha technique zote wasikuharibu tena wewe nisikilize mimi tu hapaSawa. alafu nimekupenda waonekana mstaarab.