Sasa kama umefunga akaunti, urafiki tutaufanyaje bila kufahamiana? Au hiyo avatar yako ni picha yako halisi kama ilivyo ya kwangu? Afu jinsia yako ni He/She?
My Good Lord! Ni ushenzi gani uliofanyiwa mwanaume? Inatisha sana aisee. Huyu Cameroon huyu! Khaa!@Asprini, jinsia yangu me. nimekimbia FB sbb ya kufanyiwa ushenzi sitaki huo ushenzi ujirudie ndio maana nimefunga.
Hahahaha........ Stuka!! Soma hapa chini! ODM hadanganyiiiiki!Babu upo makini kuongeza idadi ya wajukuu wa kuwakagua
@Asprini, jinsia yangu me. nimekimbia FB sbb ya kufanyiwa ushenzi sitaki huo ushenzi ujirudie ndio maana nimefunga.
Unamfahamu Semenya?@Asprini, hivi me ndo mwanaume? mie ke sori.
@Choosen mie ni ke.
@Otis, sante. nimekubali nawe rafiki yangu sasa.
Ni member huku JF, alituambia ana jinsia mbili LOL kila mtu akaingia mitini.@Asprini, simfahamu. nani huyo?
Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
Naona umenigongea LIKE, ndo kusema tushakuwa marafiki siyo?@Asprini, teh teh teh. ndo mana mnauliza sana kumbe waoga? nae c binadam.