Naomba uwe rafiki yangu.

@Asprini, jinsia yangu me. nimekimbia FB sbb ya kufanyiwa ushenzi sitaki huo ushenzi ujirudie ndio maana nimefunga.
My Good Lord! Ni ushenzi gani uliofanyiwa mwanaume? Inatisha sana aisee. Huyu Cameroon huyu! Khaa!
 
@Otis, narudia mie ni gal. hata hivo niwe me ama ke kuna ubaya gani kua rafik?
 
@Asprini, teh teh teh. ndo mana mnauliza sana kumbe waoga? nae c binadam.
 
Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.

Bila shaka utaachana na hao kisha mimi, siku zote muafaka huwepo, fika mwafaka kisha endelea na facebook. huku hakufai kabisa bora hata facebook. Au ulifumaniwa katika facebook, eleza kwa uwazi kisha nitakupokea kifalme katika jamii hii uliyopo sasa
 
Back
Top Bottom