Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
Hebu naomba ID yako ya facebook tafazali.Najisikia mpweke sina marafiki hapa Jamii Forums.:grouphug: Wa face book wameniharibia maisha siwataki tena.
unaona mbali kwa darubini kali hahahah.Nalog offKaribu sana Nazjaz
Sasa kama umefunga akaunti, urafiki tutaufanyaje bila kufahamiana? Au hiyo avatar yako ni picha yako halisi kama ilivyo ya kwangu? Afu jinsia yako ni He/She?@Asprini, nimefunga a/c.
@Otis, naona hujanielewa mbona siumwi. Nataka tu marafiki.
unaona mbali kwa darubini kali hahahah.Nalog off