THEBADDEST
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 247
- 140
Naombeni ushauri wenu nimefaulu vizuri PCM je, munanishauri nisomee nini?
Na vipi kwenye ajira
Na vipi kwenye ajira
Kasome marketing
We mchawi, hata jina lako linakunanga kama mchawi!Kasome marketing
Tafuta engineering courses... I guess any course can do! Note: Vijana walikimbilia field ya gesi na mafuta.. at the end of the day kumbe tulikuwa bado kuiweka field hiyo katika sehemu ya industry ya kuajiri watu!Nimemaliza form six pcm nimefaulu fresh
Naomba ushauri wenu nisomee field gani yoyote ambayo ni nzuri kwa masomo niliyofauli.
Hakuna uamuzi niliofanya ila naomba ushauri wenu ili niweze kufanya uamuzi sahihi.
Pia katika ushauri wenu naombeni mzungumzie na kwenye suala la ajira.
Nimemaliza form six pcm nimefaulu fresh
Naomba ushauri wenu nisomee field gani yoyote ambayo ni nzuri kwa masomo niliyofauli.
Hakuna uamuzi niliofanya ila naomba ushauri wenu ili niweze kufanya uamuzi sahihi.
Pia katika ushauri wenu naombeni mzungumzie na kwenye suala la ajira.
Mwaka huu naona hakuna aliyefeliKufaulu fresh ndio ufaulu gani huo ? Division one, division two au Three ?? Fafanua hapo mkuu
weka grades, ....Naombeni ushauri wenu nimefaulu vizuri PCM je, munanishauri nisomee nini?
Na vipi kwenye ajira
Naombeni ushauri wenu nimefaulu vizuri PCM je, munanishauri nisomee nini?
Na vipi kwenye ajira
Kasome field zinazohusika na construction industry, mfano civil (structucture) engineering, architecture au interial design
PCM =DCDKufaulu fresh ndio ufaulu gani huo ? Division one, division two au Three ?? Fafanua hapo mkuu
Vipi kuhusu ajiraKasome field zinazohusika na construction industry, mfano civil (structucture) engineering, architecture au interial design
Ajira zipo nyingi serikalini, kwenye makampuni ya ujenzi pia ni rahisi kuanzisha kampuni yako tofauti ta field zingine. Kifupi construction industry inakuwa kila siku. So huwezi kushindwa kuajiriwa au kujiajiri mwenyewe.Vipi kuhusu ajira
Nimemaliza form six pcm nimefaulu fresh
Naomba ushauri wenu nisomee field gani yoyote ambayo ni nzuri kwa masomo niliyofauli.
Hakuna uamuzi niliofanya ila naomba ushauri wenu ili niweze kufanya uamuzi sahihi.
Pia katika ushauri wenu naombeni mzungumzie na kwenye suala la ajira.