Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,257
- 34,547
Kwani wewe mpaka ulipoamua usome PCM malengo yako yalikuwa ni nini?Naombeni ushauri wenu nimefaulu vizuri PCM je, munanishauri nisomee nini?
Na vipi kwenye ajira
Kwani wewe mpaka ulipoamua usome PCM malengo yako yalikuwa ni nini?Naombeni ushauri wenu nimefaulu vizuri PCM je, munanishauri nisomee nini?
Na vipi kwenye ajira
PCM =DCD
Acha kumkatisha tamaa mkuu we ungeweza hata kuzipata hizoDCD unasema umefaulu vizuri mkuu.?? [emoji16][emoji16].. we sema umefaulu kiasi . Nikajua una AAB au AAA
Acha kumkatisha tamaa mkuu we ungeweza hata kuzipata hizo
Yah namshukuru mungu kwani kuna wengine walifeli kabisa.kidogo nilichopata ndio najipingezaDCD unasema umefaulu vizuri mkuu.?? [emoji16][emoji16].. we sema umefaulu kiasi . Nikajua una AAB au AAA
Napenda engineering sema ninashindwa kuamua niingie engineering gani ammbayo itaniwezesha kupata ajira kirahisiAngalia unacho kipenda,Fanya research katika hiyo kozi kisha fanya maamuzi.
Hata mimi nilimshangaa kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DCD unasema umefaulu vizuri mkuu.?? [emoji16][emoji16].. we sema umefaulu kiasi . Nikajua una AAB au AAA
1. Civil engineering.PCM =DCD
Hata mimi nilimshangaa kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi ingia kwenye ujenzi...!Hao jamaa na fani zao hawalali njaa kizembe...!Napenda engineering sema ninashindwa kuamua niingie engineering gani ammbayo itaniwezesha kupata ajira kirahisi
Kufaulu fresh ndo division gani? Una haraka ya nini?? Eleza mm nimemaliza pcm mwaka huu Physics nina Aor B,Chemistry, A/Math nina hiki ndo tukushauri ksb kila kozi ina minimum requirements walimu wanao wafundisha kazi wanayoNimemaliza form six pcm nimefaulu fresh
Naomba ushauri wenu nisomee field gani yoyote ambayo ni nzuri kwa masomo niliyofauli.
Hakuna uamuzi niliofanya ila naomba ushauri wenu ili niweze kufanya uamuzi sahihi.
Pia katika ushauri wenu naombeni mzungumzie na kwenye suala la ajira.