KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Kwa iyo anakuchezea tu¿?!
Habari wana MMU
Naanza moja kwa moja na tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu ana umri wa 26.
Kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na mimi na anasema hayuko tayari kwa sasa, ila anakaa kwangu na mimi nampenda sana.
Sasa nifanyeje ili anikubali.Je kuna dawa au au mbinu gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalamu wapi anipe Mbinu au dawa.
Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home kwangu pia ningependa kuzaa naye.
hivi unafahamu maana ya DEMU ? Demu maana yake ni kitambaa kikukuuu, kilichochoka na kibovu sasa kwanini WANAWAKE mnawaita mademu yaani sisi ni vitambaa vikukuuu? hebu badilisha kauli yako hapo juu bestito
na kama ulikuwa hujui ndo ujue tafsiiri ya neno DEMU na maana yake ni ipi?
Nashukuru kwa kunitia Moyo
mnaishi miaka mitatu na si mkeo?
labda yeye ndo ana take responsibility kwahiyo anaona huna Masada kwake hivyo anaona akikuzalia mtoto atamlea mwenyewe.
na watu kama nyie ndo mnapenda bila balance.
jf tamu sana, jf never die be4 iHabari wana MMU Naanza moja kwa moja na
tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu ana
umri wa 26. Kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na
mimi na anasema hayuko tayari kwa sasa, ila anakaa kwangu na mimi
nampenda sana. Sasa nifanyeje ili anikubali.Je kuna dawa au au mbinu
gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalamu wapi anipe Mbinu
au dawa. Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home kwangu pia
ningependa kuzaa naye.
Sasa kama hakutaki hapo kwako kinamkalisha nini???
Au wewe unamuonyesha kama unaunapenda sana kwa hiyo anatikisa kiberiti.
Historia yao ikije??? asije akawa kakimbia njaa kwao.
SASA KUNA PLAN A na B:
A) Huyo wewe achana nae tena kwa amani, mwambie kuwa umri ulionao unahitaji mke sio girlfriend, kwa hiyo kwakua wew haupo tayari basi wacha nitafute aLiye tayali kuolewa.
B) Tafuta mwanamke mwingine ambaye utaona anakufaa, pimeni afya mtie mimba hiyo ni tiketi ya kumuoa. huyo bidada muache aendelee kuwa ajuza ndio atajua kuwa alipoteza bahati.
habari ya kusema nampenda sana achana nayoo, kumpenda ndio mdudu ganii Arghhhaaa!!