East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Habari wana MMU
Naanza moja kwa moja na tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu ana umri wa 26.
Kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na mimi na anasema hayuko tayari kwa sasa, ila anakaa kwangu na mimi nampenda sana.
Sasa nifanyeje ili anikubali.Je kuna dawa au au mbinu gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalamu wapi anipe Mbinu au dawa.
Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home kwangu pia ningependa kuzaa naye.
Naanza moja kwa moja na tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu ana umri wa 26.
Kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na mimi na anasema hayuko tayari kwa sasa, ila anakaa kwangu na mimi nampenda sana.
Sasa nifanyeje ili anikubali.Je kuna dawa au au mbinu gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalamu wapi anipe Mbinu au dawa.
Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home kwangu pia ningependa kuzaa naye.