Habari wana MMU
naanza moja kwa moja na tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu Ana umri wa 26 kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na Mimi kwa kuwa anasema hayuko tayari kwa sasa na wala hataki kuolewa na Mimi ila anakaa Kwangu na Mimi nampenda sana ila yeye hayuko tayari. Sasa nifanyeje ili anikubali? Je kuna dawa au au mbinu gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalam wapi anipe Mbinu au dawa.
Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home Kwangu pia ningependa Kuzaa naye
Sasa kama hakutaki hapo kwako kinamkalisha nini???
Au wewe unamuonyesha kama unaunapenda sana kwa hiyo anatikisa kiberiti.
Historia yao ikije??? asije akawa kakimbia njaa kwao.
SASA KUNA PLAN A na B:
A) Huyo wewe achana nae tena kwa amani, mwambie kuwa umri ulionao unahitaji mke sio girlfriend, kwa hiyo kwakua wew haupo tayari basi wacha nitafute aLiye tayali kuolewa.
B) Tafuta mwanamke mwingine ambaye utaona anakufaa, pimeni afya mtie mimba hiyo ni tiketi ya kumuoa. huyo bidada muache aendelee kuwa ajuza ndio atajua kuwa alipoteza bahati.
habari ya kusema nampenda sana achana nayoo, kumpenda ndio mdudu ganii Arghhhaaa!!
iko hvyo mwache then songa mbele
Yupo kwangu Kama Mpenzi ila mi nataka anizalia mtoto sasa hataki
we mwache tu alafu mwambie asepe asikupotezee muda...siku njema ...jiongeze mwanaume halii lii hovyo
mekupenda buuuure
Habari wana MMU
Naanza moja kwa moja na tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu ana umri wa 26.
Kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na mimi na anasema hayuko tayari kwa sasa, ila anakaa kwangu na mimi nampenda sana.
Sasa nifanyeje ili anikubali.Je kuna dawa au au mbinu gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalamu wapi anipe Mbinu au dawa.
Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home kwangu pia ningependa kuzaa naye.
Habari wana MMU
Naanza moja kwa moja na tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu ana umri wa 26.
Kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na mimi na anasema hayuko tayari kwa sasa, ila anakaa kwangu na mimi nampenda sana.
Sasa nifanyeje ili anikubali.Je kuna dawa au au mbinu gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalamu wapi anipe Mbinu au dawa.
Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home kwangu pia ningependa kuzaa naye.