Naomba ushauri wadau nina shida kubwa

Naomba ushauri wadau nina shida kubwa

Huu Ushuri bado sio muafaka ninampenda ila anasema yupo tu Kama Mpenzi na sio ndoa.

huyo dada ni mchga 100% bdo yupo yupo anatafuta mwenye pesa asepe! huyo hafai kuwa mke, pia wewe badilika kuwa bado upo upo, ukiona mke wa kuoa, unahama na vyombo vyako siku hayupo unahamia makazi mapya, unaoa. Kuna kupenda na ndoa, baada ya kuoa, utampenda (hata kwa kuforce mwanzoni) baadae utapenda. Ila tafuta mke mwenye sifa za kuwa mke wa kuoa sio gal frend. Huyo ni gal frend, hata wewe huyo gal frend wako ni wa kwanza. Acha ulimbukeni wa mapenzi huyo ukioa atakutesa milele.
 
Yupo kwangu Kama Mpenzi ila mi nataka anizalia mtoto sasa hataki
Sasa hataki wewe unavyotaka wa nini? tafuta aliyetayari kumzalisha na kumuoa wewe unamng'ang'ania wa nini wakati hatiki kuolewa na ww, au umewekewa limbwata tayari?
 
Habari wana MMU

Naanza moja kwa moja na tatizo langu. Mimi ni kijana wa miaka 28 naishi na mpenzi wangu ana umri wa 26.

Kwa miaka mitatu ila hayuko tayari kuzaa wala kuolewa na mimi na anasema hayuko tayari kwa sasa, ila anakaa kwangu na mimi nampenda sana.

Sasa nifanyeje ili anikubali.Je kuna dawa au au mbinu gani nifanye ili akubaliane na Mimi. Au kuna mtaalamu wapi anipe Mbinu au dawa.

Nisaidieni nampenda sana na bado nipo nae home kwangu pia ningependa kuzaa naye.

Huyo mwanamke hakutaki ila kwa sababu anakulisha na kukuvisha ndio maana unamng'ang'ani lakini mwenzio amekufanya wewe ni king'asti tu akipata jembe la maana wewe anakuachilia mbali. Ushauri wa bule tafuta kazi ufanye ili ujitegemee maisha ya kutegemea mwanamke utakuja kuadhirika bule mjini hayo ni maoni yangu tuu
 
aisee pole sana .....kupenda kusikufanye kushindwa kujitambua wewe mwenyewe.....mtu kakwambia hataki kuzaa na hayupo tayari kuolewa kwa sasa.........hapo maamuzi magumu yanahitajika......maumivu ya moyo mbona yanatibika tena kwa haraka endapo tu utamua......sasa fanya hivi mwambie sababu wewe hautaki naomba uondoke nimempata mwingine ambae yuko tayari kuzaa na kuolewa na mimi.......na kesho yake kama nyumba yako kubwa mlete mdada ujifanye kama mpenzi wako.....mana nachoona huyo anakuona hauna uwezo wa kupata mwanamke mwingine .....ndiyo maana anakuchezea akili.....
 
we jamaa wacha umbilimbi bana,,,, keshakwambia hakutaki...nini cha zaidi unalialia hapa, tena kakwambia mwenyewe.. dawa ni wewe kuhama mpe vitu vyote hama hapo,,, mbwiga wewe....

Asimpe vitu vyote.....! Usiwe muoga. Usiwe na mapenz ya kilofa! Mwambie kirafiki ila umaanishe.... Mwambie nataka mke...sio demu. Demuuu, go! Wanawake wapo kibao ni wew tu na roh yako. Ila h.i.v test ni lazma ndo uweke mimba.

Huyu kuwa naye kwanza wakati unafanya mchakato wa kumpata mwingne. Muone wa kawaida ila ikifika ucku...poa..fanya vitu.
Huyo mpya ukimpata mkapime na mweleze shida yako ni kuoa na hitaji lako la mtoto. Peleka barua kwao kam utambulisho afu weka mimba.
Cku ukitaka kumleta kwako uyo she mpya, tafuta nyumba ingne ya kupanga mbali na hapo, usimwambie yeyote kuwa unampango wa kuhama, cku ikifika unajua old-she wako yuko job....unahama ghafla na vitu vyako vyote na umwachie vyake. Mwenye nyumba mwambie nna matatzo ya kifamily xo, narudi kwetu.
Old-she akirudi pale hom anakuta empty...ataelewa tu lakn atatingwa. Uwe jasiri basi cuz atakupigia cm. Pokea cm yake na umwambie nimepata mke na sasa endelea na kuishi kisela. NA MUNGU ATAKUBARIKI. Ila kama una moyo wa kike, mtaendelea kucheza makida makida tse!
 
Ndugu yangu kaa nae ongea kwanini hataiki ndoa huenda ana sababu zake za kimsingi,
ukiona anakurusha rusha wewe mwambie yaliyo ya moyoni mwako mwambie kuwa wewe
unataka ndoa na kuchezeana tu ukiona yuko danadana achana nae tafuta mwingine na
mwombe mungu akupe mwingine wa kuwa katika pingu za maisha nae huyo naona anakuchora
na kukuchota nguvu zako bure eee bestito
 
hivi unafahamu maana ya DEMU ? Demu maana yake ni kitambaa kikukuuu, kilichochoka na kibovu sasa kwanini WANAWAKE mnawaita mademu yaani sisi ni vitambaa vikukuuu? hebu badilisha kauli yako hapo juu bestito


na kama ulikuwa hujui ndo ujue tafsiiri ya neno DEMU na maana yake ni ipi?
Asimpe vitu vyote.....! Usiwe muoga. Usiwe na mapenz ya kilofa! Mwambie kirafiki ila umaanishe.... Mwambie nataka mke...sio demu. Demuuu, go! Wanawake wapo kibao ni wew tu na roh yako. Ila h.i.v test ni lazma ndo uweke mimba.

Huyu kuwa naye kwanza wakati unafanya mchakato wa kumpata mwingne. Muone wa kawaida ila ikifika ucku...poa..fanya vitu.
Huyo mpya ukimpata mkapime na mweleze shida yako ni kuoa na hitaji lako la mtoto. Peleka barua kwao kam utambulisho afu weka mimba.
Cku ukitaka kumleta kwako uyo she mpya, tafuta nyumba ingne ya kupanga mbali na hapo, usimwambie yeyote kuwa unampango wa kuhama, cku ikifika unajua old-she wako yuko job....unahama ghafla na vitu vyako vyote na umwachie vyake. Mwenye nyumba mwambie nna matatzo ya kifamily xo, narudi kwetu.
Old-she akirudi pale hom anakuta empty...ataelewa tu lakn atatingwa. Uwe jasiri basi cuz atakupigia cm. Pokea cm yake na umwambie nimepata mke na sasa endelea na kuishi kisela. NA MUNGU ATAKUBARIKI. Ila kama una moyo wa kike, mtaendelea kucheza makida makida tse!
 
Ndugu yangu kaa nae ongea kwanini hataiki ndoa huenda ana sababu zake za kimsingi,
ukiona anakurusha rusha wewe mwambie yaliyo ya moyoni mwako mwambie kuwa wewe
unataka ndoa na kuchezeana tu ukiona yuko danadana achana nae tafuta mwingine na
mwombe mungu akupe mwingine wa kuwa katika pingu za maisha nae huyo naona anakuchora
na kukuchota nguvu zako bure eee bestito

Alafu mnahangaika kumshauri mwanaume anaeshindwa kufanya maamuzi rahisi hivi?

Huyu ni me lakini ana genes za ke...

Hopeless
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom