T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,928
- 30,075
Kama ushauri,umeshauriwa mkuu.sasa ni wewe tu kuufanyia kazi,,,,,,,pole
Teh Teh we mleta mada mbona unanisema mimi Sasa? Si ungeniuliza mwenyewe! Wewe upo bize unacheza Game kwenye computer hadi saa6 usiku mi naenda zangu kulala tu!
Madaktari wanashauri mtu mzima alale masaa nane mpaka sita sasa mambo ya kukatizana na kuamshana haihusu kwa kweli , badili mida
huwa inakuwa muda gani amba huwa unamuamsha? na shughuli zake unavyoona ni za kuchoka kiasi hicho?. tuanzie hapo.Nimekaa na Mke wangu miaka 2 sasa, tuna mtoto 1, Kinachoniumiza kichwa, Mke wangu yeye nikitaka tendo la ndoa anadai nimuwahi kabla hajapata usingizi, akishasinzia nikamwamsha ili tupeane tunda anachukia sana, na asubuhi hivyo hivyo, leo nimemuuliza kama anamchepuko bora aniambie akasema yeye hana isipokuwa huwa hapendi kuamshwa akishalala. Je? hii ni kawaida au kuna kitu kinaendelea? Na nisipomuanza mimi hata wiki inapita, anadai eti huwa anaham lakini hawezi kuniambia! Hii ikoje wadau? Nahisi kuna mchezo mchafu unaendelea, naomba ushauri wako!
Chuga mamii! now im hundreds kms away!wapi hiyo ndugu
Unapoenda kazini acha hata ka LAKI kamoja hapo mezani then ukiwa kazini m text kuwa hizo ni zako za matumizi yako binafsi!
Ukifanya hivyo hata urudi saa 8 usiku atakusubiri tu tena utakuta kanywa na kahawa kabisa ili asilale!!
Mkono mtupu..........?
Hakika aisee yan kuna wadada wanamaudhi kweli eti akipitiwa na usingiz asiamshwe??? hahahahaaaa. if I were a boy........... angesanda
We inaelekea huwa unamuingilia bila kumtayarisha vizuri...basi mwenzio anaona kero la kukutana na wewe...
Hakika aisee yan kuna wadada wanamaudhi kweli eti akipitiwa na usingiz asiamshwe??? hahahahaaaa. if I were a boy........... angesanda
Kuna tatizo hapo mkuu