tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,216
aisee, 'usimlaumu mkwezi, nazi imeliwa na mwezi'
Hivi jamani kati ya sikio na kidole kipi huwa kinamchokoza mwenzake?
Dah its remind me of my home city............!
Ndugu em twende taratibu kidogo tukidiagnose chanzo cha tatizo,,
* mlidumu ktk uchumba kwa mda gani? Na perfomance yake iliukaje kabla na baada ya uchumba?? Endapo mlikua mkigegedana
*Ni mke wa ndoa kabisa mna baraka toka pande zote.?
*kama ni wa ndoa ,je ulitoa mahari kwao?
.., jibu kwanza haya ndg.
Hiyo ndio ilikua tabia yake tangu zamani au ni mpya? je mwanzo alikua anakuita au wewe ndio unaanza? na kuhusu usingizi mimi binafsi sipenda mtu anisumbue nikasha lala lakini huyu nilonae mbishi ana penda bao za asubuhi nilikua nachukia mpaka sasa napenda,sasa kwa yeye mchukulie pole pole na jaribu kumpa style mpya labda amechoka na za kifo cha mende, jengine mwanamme ni mtu mwenye aibu sio rahisi kukwambia anahitaji utaona viji ishara sasa kama sio mjuzi wakusoma LEBO hapo ndio itakua tabu.........
Nimekaa na Mke wangu miaka 2 sasa, tuna mtoto 1, Kinachoniumiza kichwa, Mke wangu yeye nikitaka tendo la ndoa anadai nimuwahi kabla hajapata usingizi, akishasinzia nikamwamsha ili tupeane tunda anachukia sana, na asubuhi hivyo hivyo, leo nimemuuliza kama anamchepuko bora aniambie akasema yeye hana isipokuwa huwa hapendi kuamshwa akishalala. Je? hii ni kawaida au kuna kitu kinaendelea? Na nisipomuanza mimi hata wiki inapita, anadai eti huwa anaham lakini hawezi kuniambia! Hii ikoje wadau? Nahisi kuna mchezo mchafu unaendelea, naomba ushauri wako!
Nina miaka nae 2, ni mke wa ndoa kabisa ya Kanisani, na Mahali nililipa.