Naomba ushauri simuelewi mke wangu

Naomba ushauri simuelewi mke wangu

Hana mchepuko huyo na inawezakuwa unanisema mimi yaani uniamshe usingizini kisa nini?? Hata mie nikilala no kuniamsha kabisa na siombi sex naona haya mie mweeh....
 
Hakuna tatizo hapo ila yupo hivo tu, sio kila mwanamke anakuwa na hamu ya tendo la ndoa akasema, wengine hawasemagi na pia hawawezi kuanza wao kwa waume zao, so ni majaaliwa tu

Mimi ni mmojawao..... Na usingizi ni shida kwangu nikilala sitaki kuamshwa kabisa.. Ha ha
 
Hapo inaonekana we tu ndo mwenye shida mzee na mrs yuko ok hata kama hakuna sex. La kufanya usimuombe sex mpaka uone reaction yake ikoje. sijui kama ubavu huo unao ila ukiweza itakusaidia sana siku za mbeleni. Hii utamuonyeshe kwamba kama hataki na we unaweza kutotaka. Siku nyingine na we mwambie una uzingizi. Wala uzimgombeze, naamini kama ni mwanamke muelewa atabadilika. Endapo atashikilia msimamo wake kwamba naye hajali hata msipo sex basi hapo huna mke na jaribu kuanza kutafuta utaratibu mwingine.

Dawa yake atafuta mchepuko tu. Alafu kaaa kama ezi tatu bila kuilizia kitu. Utamuona anajilekebisha. Ila na wewe uwe tayari kubadilika.
 
nature is always nature: Yote haya ni jinsi gani mnahuisha ndoa yenu na jinsi gani mpo open kwenye mawasaliano. Jamii zetu za kiafrika zimelea wanawake kama wanaongojea kuambiwa, kuanzwa, kupapaswa nk. Ni ngumu kutoa ghafa kitu mtu anachoamini hivyo ukielewa makuzi na culture ya mtu unaweza ku edit baadhi ya vitu , mfano

  • mwekee mazingira ya kusikilizwa na umuweke huru aongee na wewe jambo lolote, after all she is your wife. Wanaume wengi hawajui kuwa kiu kubwa ya wanawake ni maongezi. Na mara nyingi mama anapoanza stories na vitu kama hivyo baba anaweza kumzima ghafla. Pia elewa kuwa perception zako mwanaume na za mwanamke ni tofauti hivyo unavyoua story zake (hata kama ni kuhusu a simple movie) basi unapunguza ile intimacy
  • pamoja na ubize kumbuka kumtoa outing : Hii simaanishi kutembelea ndugu au jirani, la bali mtoe outing mara moja kwenye sehemu nafuu na kama uwezo upo sehemu nzuri. Na muende wawili maana ukiwa na watoto mnakosa bonding. Na endelea kumuweka wazi kuwa unampenda na unapenda maisha yenu yawe ya amani .
  • zawadi ndogo ndogo: A blouse, underwear , a handkerchief mara moja moja
  • wasiliana nae mchana kuwa unampenda , unamiss ; muulize anaendeleaje nk , kama mliachana asubuhi anaumwa kichwa mpigie mchana muulize anajisikiaje
  • epuka mawazo mabaya bila sababu maalumu: Ni kawaida mwanamke kutokuwa na hamu kama hakuna mawasiliano, hukumsikiliza vema katika issue fulani, umemdharau , nk --maana sex kwa mwanamke inaanzia kwa jinsi mnavyowasiliana, nk . Kwa mwanaume hamu ya tendo ipo tu hata kama mmetoka kugombana. Ukielwewa tofauti hizi zitakusaidia sana.
  • umewahi kusema samahani ukikosea au unassume tu kuwa mambo yameenda sawa sawa?
  • unasaidia mara moja moja kumbeba mtoto , kazi fulani au anafanya yote?
  • unamjali matumizi ya nyumbani nk?
  • kubwa ya yote : Mpeni mungu nafasi ya pekee katika ndoa yenu , awaongoze katika umoja wenu , mnie moja , kusiwe na uchoyo nk

maisha ya ndoa ni rahisi kama mume atakaa kama mume, wanawake ni rahisi sana kuadjust kama mwanaume anaonyesha muongozo katika kuweka mahusiano yakawa wazi, ya kirafiki, nk.

tamthilia za kifilipino hizi.,,
huyu dada kapoteza hisia kwa mumewe.,

huenda aliparamia ndoa., nashauri ahudhurie seminar na mafunzo ya ndoa. Kuna elimu amekosa.
 
Unapoenda kazini acha hata ka LAKI kamoja hapo mezani then ukiwa kazini m text kuwa hizo ni zako za matumizi yako binafsi!

Ukifanya hivyo hata urudi saa 8 usiku atakusubiri tu tena utakuta kanywa na kahawa kabisa ili asilale!!
Mkono mtupu..........?

Hahahaa haaaa uwiii Yaani nimecheka
 
Vipi labda ni wale ambao minara ya mawasiliano imeng'olewa hivyo network hua haikamati?!
 
Back
Top Bottom