Naomba ushauri simuelewi mke wangu

Naomba ushauri simuelewi mke wangu

aisee hata ingekuwa mimi lazima ungenifungulia thread, sex gani hiyo yakuamshana usingizini? alafu bora mtu akukatishe usingizi mchana lakini usingizi wa usiku ukishakupitia ni mtamu sana mtu anapokuasha unahisi kero ile mbaya sasa unategema mood ya sex itakuja kweli hapo? tatizo wanaume huwa hamtuelewi, hata mimi baada ya ndoa aisee mme wangu ilimchukua muda kunielewa lakini sasahivi kanielewa
 
Mleta mada hauko clear na maelezo yako, hebu fafanua zaidi...

1. Historia ya mahusiano yenu.[Isije ikawa ni ndoa ya kulazimishana]
2. Historia yenu as far as tendo la ndoa is concerned.[Mliaanzaje na imefikaje mkawa hivyo]
2. Hali yenu sasa hivi, je mna mtoto mdogo, anafanya kazi gani?

In short, give more details. Mwanamke kama anakupenda na anajali mahusiano yenu hawezi kuanza kukunyima tu mchezo wakati huu ambapo kuna mamilioni ya cheap women huko nje. Me mwenzio nikijisahau tu, navutwa mpaka kwa bakora
 
Mpaka Mkeo Akakorome Kitandan Ww Unakuwa Wapi? Cku Ya Kupeana Nadhan Ni Vzr Wote Mkienda Kitandani Mapema Halafu Jitaid Kumridhisha Mkeo Sio Unafanya Ili Mradi Ndo Maana Hata Ham Na Ww Hana Kiujumla Rekebisha Mapungufu Yako Kwanza..
 
Hakika aisee yan kuna wadada wanamaudhi kweli eti akipitiwa na usingiz asiamshwe??? hahahahaaaa. if I were a boy........... angesanda
Ndo maana upo Girl. Ndoa zina mengi na kama binti alikuwa anafanya sex kwa ajili ya kupata mtoto, akishazaa hamu inaisha na itaanza tena wakati akitaka mtoto mwingine. Uvumilivu kwa mwanaume ndiyo silaha ya kushinda hii hali. Kiuhalisia ndo maana wauza sukari hawaishi mijini na wanaokoa ndoa nyingi kuvunjika
 
Lakini jaman usingizi mtamu eti,ww jitahid tu uwe unawahi kabla hajalala,na jumapili fanya mchana usiku mwache apumzike
 
MotoYaMbongo muandae kisaikolojia mkeo tokea kazini hata kwa msg tu, ya kuwa leo "una hamu". Pia waweza kumtumia msg nzuri ya mapenzi ambayo itamtia mshawasha mkeo.
Hakikisha umewahi kurudi kazini huku unampa maneno matamu ya kumsifia mkeo. Mpeleke kitandani muandae vizuri jilie tunda lako tani yako.

NB: Ni vizuri pia mkabadilisha "venue" siku moja moja.
Ila ongea na mkeo pia labda kuna tatizo ambalo anashindwa kukuambia
 
Last edited by a moderator:
Hivi jamani kati ya sikio na kidole kipi huwa kinamchokoza mwenzake?
Watu 8 wewee.
Uchokonozi huanza sikio manake ndilo liwashalo, kidole hutumika kukuna panawapowasha.
Hakuna muwasho hakuna kujikuna atiii.

Swali la msingi kati ya sikio na kidole kipi hupata raha?
 
Last edited by a moderator:
Unapoenda kazini acha hata ka LAKI kamoja hapo mezani then ukiwa kazini m text kuwa hizo ni zako za matumizi yako binafsi! Ukifanya hivyo hata urudi saa 8 usiku atakusubiri tu tena utakuta kanywa na kahawa kabisa ili asilale!! Mkono mtupu..........?
Kuna wengine wanazo, ukitaka kuondoka unaulizwa kama mfukoni una hela, ukisema sina anakupa laki tano. Hivyo mbinu yako inategemea
 
Ndo maana upo Girl. Ndoa zina mengi na kama binti alikuwa anafanya sex kwa ajili ya kupata mtoto, akishazaa hamu inaisha na itaanza tena wakati akitaka mtoto mwingine. Uvumilivu kwa mwanaume ndiyo silaha ya kushinda hii hali. Kiuhalisia ndo maana wauza sukari hawaishi mijini na wanaokoa ndoa nyingi kuvunjika

Asante inaonekana una udhoefu.wa muda mrefu asante.... mchepuko ndiyo dill
 
wapo wanawake wa dizaini hiyo,we unasema wiki watu miezi inakata so relax na badili time table sasa mkimaliza dinner tu haooooo
 
Nimekaa na mke wangu miaka miwili sasa, tuna mtoto 1, kinachoniumiza kichwa, mke wangu yeye nikitaka tendo la ndoa anadai nimuwahi kabla hajapata usingizi, akishasinzia nikamwamsha ili tupeane tunda anachukia sana, na asubuhi hivyo hivyo, leo nimemuuliza kama anamchepuko bora aniambie akasema yeye hana isipokuwa huwa hapendi kuamshwa akishalala.

Je hii ni kawaida au kuna kitu kinaendelea? Na nisipomuanza mimi hata wiki inapita, anadai eti huwa anahamu lakini hawezi kuniambia.

Hii ikoje wadau?

Nahisi kuna mchezo mchafu unaendelea, naomba ushauri wako.

Hakuna tatizo hapo ila yupo hivo tu, sio kila mwanamke anakuwa na hamu ya tendo la ndoa akasema, wengine hawasemagi na pia hawawezi kuanza wao kwa waume zao, so ni majaaliwa tu
 
Mchepuko pengine hana, tatizo ni wewe unamchukulia simpo.
 
Nakushauri kiti kimoja. Mda wake wakulala ukifika we nenda chumbani omba game...ukimaliza nenda kaendelea na programs zako za tv. Hapo nadhani swala lausingizi litakuwa halina sababu. Ila wewe unaenda kulala saa 6 mwenzio amelala tangu saa nne. Usingizi umekolea alafu unakuja unataka gemu hapo utakuwa unamtaka maneno. Asubuhi inategemea..kama ni mtu wa kazini basi wewe msubirie zile za jmos au j2 hapo hana pakukimbilia. Ila pole sana.
 
Kuna wengine wanazo, ukitaka kuondoka unaulizwa kama mfukoni una hela, ukisema sina anakupa laki tano. Hivyo mbinu yako inategemea

Hawa wake zetu micharuko wakupe wewe laki 5?You dreaming man

Mwanamke mwenye uelewo kama huo unao usema hapa hawezi mpangia mme wake condition za kumpa papuchi
 
Back
Top Bottom