MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Nimekaa na mke wangu miaka miwili sasa, tuna mtoto 1, kinachoniumiza kichwa, mke wangu yeye nikitaka tendo la ndoa anadai nimuwahi kabla hajapata usingizi, akishasinzia nikamwamsha ili tupeane tunda anachukia sana, na asubuhi hivyo hivyo, leo nimemuuliza kama anamchepuko bora aniambie akasema yeye hana isipokuwa huwa hapendi kuamshwa akishalala.
Je hii ni kawaida au kuna kitu kinaendelea? Na nisipomuanza mimi hata wiki inapita, anadai eti huwa anahamu lakini hawezi kuniambia.
Hii ikoje wadau?
Nahisi kuna mchezo mchafu unaendelea, naomba ushauri wako.
Je hii ni kawaida au kuna kitu kinaendelea? Na nisipomuanza mimi hata wiki inapita, anadai eti huwa anahamu lakini hawezi kuniambia.
Hii ikoje wadau?
Nahisi kuna mchezo mchafu unaendelea, naomba ushauri wako.