Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,567
Ndio maana nimehamia kwa ma-celebrity, huku chai tupu
Umeona eeh bora kule kwa binamu
Yaani kuna fake stories mpaka uhalisia umepotea
Ndio maana nimehamia kwa ma-celebrity, huku chai tupu
A cha maneno yakipumbavu ungemwonea kinyaa ungempa mimba tafuta neno zuri nasio kusema kinyaaa
Usinichekeshe mie, mtu kakupa penzi muda woote hadi kakuzalia mtoto leo unasema unamuonea kinyaa, huna haya wewe, kinyaa kinatoka wapi na wakti alikuwa mpenzi wako, bora hata ungesema unamuonea aibu, eti unamuona kinyaa, babako alimuona kinyaa na wewe umeshaanza kumuona kinyaa, thats why mmevuna mlichopanda
Mkuu bado ile sredi ya vaisley banah...Ila jamaa ni msanii..Imagine watu wamekomaa na keypads wakimwaga maushauri...!
kofyakah..wewe jamaa punguza kamba banah..!
Mxiuuuuuuuuuuuuuuu
Nilishangazwa sana na huyu mwanamke
Started by 7 5 mm, 21st June 2014 09:25
MR. 7 5 mm!!..CAN YOU PLEASE GIVE ME THE TIMELINE OF THE RED BOLDED EVENTS....
huyu 7 5 mm ni mtunzi mzuri sana wa hadithi,kwa nini usiwe script writer?Habar ya mda huu wadau,
Moja kwa moja niende kwenye maada. Mkasa huu umenikumba nikiwa nafanya kazi mkoa flani kanda ya kati. Katika eneo ambalo nilikuwa naishi ni karibu na sehemu ambayo baba yangu alikuwa anafanyia kazi kabla ya kustaafu na kurudi nyumbani kwake namaanisha mkoa alikozaliwa yeye ambao upo kusini nyanda za juu.
Wakati baba anastaafu na kurudi mkoa aliozaliwa mimi na nikabaki mkoa huo huo aliokuwa anafanya kazi sikuweza kuhama naye kwasababu nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni moja ya mawasiliano .
Katika kipindi alichokuwa anafanya kazi kumbe alizaa nje ya ndoa na mwanamke mmoja lakini baba hakuweza kumhudumia yule mtoto kitendo ambacho kilimfanya mama mtoto asimweke karibu na baba.
Hata yeye baba hakuwahi kutuambia kuwa aliwahi kuzaa nje ya ndoa. Katka kipindi chote hicho mama huyo na mwanaye walikuwa wakiishi mbali kidogo na wilaya yetu.
Basi katika mizunguko ya kazi hapa na pale nilikutana na dada huyu ambaye ndiye nimezaa naye pasina kujua ni dada yangu. Tulikutana kwenye semina mkoani Kilimanjaro kama ilivyo kawaida ya wanaume nikamuaproach yule dada na akaingia line. Tukaanza kujihusisha kimapenzi kwa muda wa mwaka mzima mpaka alipopata ujauzito.
Ikanilazimu niukubali ule ujauzito na nikatafuta wazee wa mtaa ninaokaa na kwenda nyumbani kwa mwanamke ili kujitambulisha. Yule mama mkwe ambaye ni mama mdogo kihalali alipoona majina yangu matatu akapatwa na wasi wasi japo barua ilipokelewa.
Ikabidi akanitafuta kwa kuniuliza kiundani nilipojieleza ndipo akasema huyu uliyempa mimba ni dadayako tena wa damu.
Kwakweli niliishiwa nguvu akaanza kunisimulia kila kitu kuhusu baba yangu. Mpaka hapa ninapo andika mwanamke ameshajifungua na mtoto ana miezi 5.
Baba sijamwambia bado ila nataka nimpeleke huyu binti nyumban kwetu. Na hii siri naijua mimi na mama mkwe au mama mdogo.
Sijajua nifanyeje mama mwenyewe ameshindwa afanye nini, tunaogopa kuwashirikisha watu aibu.
Duuh! ha ha ha ha hauja jamb.a kweli?
Mkuu watu8 huyu jamaa 7 5 mm pamoja na tumboo na umukagame hapa jamvini ni michosho tuu...mara waanzishe sredi kwa kutumia Id nyingine wajijibu kwa Id ya pili...mara waanzishe story za pumba...yan ni mchelemchele tu...Bora wewe unawakeep in mind siku wakizingua unawamwagia pumba zao kweupee...kamata like mkuu
Umelipia kiingilio wewe?
hii ni ya kweli vp unaweza kunithibitishia ushahidi wowote kuwa huu ni uwongo
mi ndo wa kwanza nilikata tiketi kabla afu movie haijanoga itabidi mnilipe fidia nyie maadui mnaanzaje kumuandama sterling mwanzo mwanzo lol
Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu pole 7.5