jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
Tyta na watu8 ni kiboko...loading error...
Chezea mapenz nipoteze....vale anampa mahaba
Shiiiii ongea tararibu lol
Yupo india aise anaweka mambo sawa soon nami ntamfata huko....
Chezea mapenz nipoteze....vale anampa mahaba
Tyta na watu8 asanteni...
Maana hizi hadithi njoo, uongo njoo utamu kolea zimezidi huku MMU[/QUOTE BADILI TABIA turudi celebrity au habari mchanganyiko!
Yani hili jukwaa kwakweli uongo mwingi hadi ina kera mimi sikuhizi si comment mpaka nione nyayo za tyta ,philagy na watu8. Duuu ina katisha tamaa!Ndio maana nimehamia kwa ma-celebrity, huku chai tupu
Kabla watu hawajafunguka inaonekana hii ni made up story kutokana na ushahidi wa Tyta na watu8 hapo juu,kijana usiwe unapenda kupoteza muda wa watu hapa!
Usinichekeshe mie, mtu kakupa penzi muda woote hadi kakuzalia mtoto leo unasema unamuonea kinyaa, huna haya wewe, kinyaa kinatoka wapi na wakti alikuwa mpenzi wako, bora hata ungesema unamuonea aibu, eti unamuona kinyaa, babako alimuona kinyaa na wewe umeshaanza kumuona kinyaa, thats why mmevuna mlichopanda
hahahahah mom fay wake arovera
Yupo india aise anaweka mambo sawa soon nami ntamfata huko....
unasemaaa...!rudia ulichoandika
Na baba paroko utamwachia nani?