Naomba ushauri: Nimezaa na dada yangu

Naomba ushauri: Nimezaa na dada yangu

Mkuu wangu kutokutuomba radhi haututendei haki members wenzako hapa na tutachukulia kama ni dharau kubwa umetuonyesha!

Ndiye huyu huyu mke wako ambaye pia ni dada yako mwezi uliopita alikuwa anastarehe yy tu kitandani tena akiwa na mtoto wa miezi 4 akizaa na ww kaka yake?

Ehehehehe mkuu tuomba radhi bana

umemganda jamaa mpaka anashindwa kupumua. Lakin hilo nalo neno aombe radhi
 
Back
Top Bottom