Naomba ushauri: Nataka kwenda honeymoon South Africa

utukufu

Member
May 31, 2011
34
20
Nawasalimu wote humu ndani wakuu,

Nimepanga kufunga ndoa takatifu tarehe 25,02,2017 wiki mbili kutoka sasa na mimi na mpenzi wangu tumeona ni vyema twende South Africa kwa ajili ya honey moon, nilikua naomba ushauri kwa waliowahi kufika huko, ni sehemu gani nzuri za kutembelea wapi tutaenjoy zaidi, wapi tutapata privacy nzuri tuweke historia yetu nzuri kwa muda wa siku 7 tu.

Nakaribisha maoni wakuu.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
aisee kamugisha, tafadhal usiende huko hawakawii kukubambikia umebeba sembe...................
 
hongera sana.
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi yatimie
watakuja wanaopajua watakuelekeza..

Hongera
 
Hauna lolote umekuja kuturingishia tu.

Humu tunashughulika na mikasa ya ushauri mambo yakikugomea sio yakiwa fresh.
 
Back
Top Bottom