sam green
Senior Member
- Feb 21, 2020
- 176
- 256
Habari kaka zangu na dada zangu katika jukwaa hili,
Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.
Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu
Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa
NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.
Nahtaji ushauri, nimekuwa na mpenzi wangu ambaye mara nyingi anakuwa muongo sana hataki kuweka mambo yake wazi, japo sio sana. Sasa hili ndio babu kubwa, kuna siku amepata safari walisafiri na dada yake. Siku hiyo alioamba nauli tulikwazana sikumpa wakasafari alivyofika kule nikamtafuta nikamuuliza akasema nauli amekopewa na dada yake, kwahiyo ana mdai.
Ilivyofika siku ya kurudi nikatuma nauli ya kwake na ya kumlipa dada yake hatimaye wakarudi lakini akatuma sms eti usimwambie dada kama umenitumia hela, nkapgwa na butwaa ikabidi nimtafute dada yake na kumueleza yaliyopo dada yake akaniambia siku ya safari ya kuenda hawakutumia nauli walipanda gari la kanisa bure ila nauli walitoa wakati wa kurudi na hakumpa hela dada yake alitoa ya kwake tu
Ni hayo machache japo yapo na mengine, mnanishauri nin? Juu ya hili nataka kumuacha lakini nikikumbuka tumetoka mbali sana mpaka tumefka hapa. Nina miaka miwili kwenye mahusiano mpaka sasa
NB: Nilipanga aje kuwa mke wangu hapo baadaye lakini tabia yake ya kutokuwa muwazi ina kera mara kadhaa nimemwambia ajitahidi asiwe ana danganya lakini bado.