Naomba ushauri kuhusu mpenzi wangu

Bugeni

Member
Aug 3, 2022
13
36
Habari ndugu zangu, mm Ni wa kiume (25). Nilipokuwa chuo nikipata na mdada ambaye mazingira ya chuo yalikuwa magumu kiasi kwamba ilibaki kidogo kudisco, ila nikapata huruma kunisaidia ktk kusaidiana mwaka wa mwisho ikabid tuishi pamoja km wapenzi.

Maisha yalikuwa matamu sana sikuwahi kuona utamu wa mapenzi km vile, tulipomaliza yeye akapata kazi mm Bado na Hali yangu ikawa ngumu yeye ndo akanihudumia mpaka saiz nnavyoongea.

Wakati wa kazi zake akapunguza mapenzi akiniambia kazi Ni ngumu anatembea juani kwahyo kuwasiliana Ni ngumu ila akasema akiwa anatoka atakuwa ananipgia muda huo alirudi kwao mm nikaendelea kuishi gheto, ila anaweza akafika nyumbani akalala na asikutafte.

Kuna siku niliwahi kuona sms kamtumia dada yake kuwa saiz Hana hisia namm Ila akaniambia alikuwa anamtania tu, lakin tuliyajenga kweli mabadiliko kidogo yalionekana baada ya siku moja alikuja gheto akanikuta nna simanzi bas akafunguka kuwa alikuwa anafanya vile ili awe huru na mambo yake Ila hakujua kuwa ananiumiza vile, tukasameheana lakin mambo Bado ndugu zangu nimekuwa wa kulia tu kuhusu hili penzi.

Kuna muda huwa namwambia tuachane yeye huwa hakubali Ila atakaa kmy asikutafte mm ndo najirudisha kwake nashindwa kuachana naye hebu nishaurin mwenzenu nna Hali mbaya sana Sina hata NGUVU za kutafta kazi nimekuwa wahuzuni tu ndani
 
Vumilia maumivu uliyopitia ila usiruhusu ujinga huu kuendelea maana baadae unaweza kuumia zaidi ama kufa. Kaza moyo tafuta kazi, tafuta pesa wewe sio wa kwanza mapenzi ndivyo yalivyo na ukiyaendekeza hutapata nguvu ya kufanya chochote
 
Habari ndugu zangu, mm Ni wa kiume (25). Nilipokuwa chuo nikipata na mdada ambaye mazingira ya chuo yalikuwa magumu kiasi kwamba ilibaki kidogo kudisco, ila nikapata huruma kunisaidia ktk kusaidiana mwaka wa mwisho ikabid tuishi pamoja km wapenzi.

Maisha yalikuwa matamu sana sikuwahi kuona utamu wa mapenzi km vile, tulipomaliza yeye akapata kazi mm Bado na Hali yangu ikawa ngumu yeye ndo akanihudumia mpaka saiz nnavyoongea.

Wakati wa kazi zake akapunguza mapenzi akiniambia kazi Ni ngumu anatembea juani kwahyo kuwasiliana Ni ngumu ila akasema akiwa anatoka atakuwa ananipgia muda huo alirudi kwao mm nikaendelea kuishi gheto, ila anaweza akafika nyumbani akalala na asikutafte.

Kuna siku niliwahi kuona sms kamtumia dada yake kuwa saiz Hana hisia namm Ila akaniambia alikuwa anamtania tu, lakin tuliyajenga kweli mabadiliko kidogo yalionekana baada ya siku moja alikuja gheto akanikuta nna simanzi bas akafunguka kuwa alikuwa anafanya vile ili awe huru na mambo yake Ila hakujua kuwa ananiumiza vile, tukasameheana lakin mambo Bado ndugu zangu nimekuwa wa kulia tu kuhusu hili penzi.

Kuna muda huwa namwambia tuachane yeye huwa hakubali Ila atakaa kmy asikutafte mm ndo najirudisha kwake nashindwa kuachana naye hebu nishaurin mwenzenu nna Hali mbaya sana Sina hata NGUVU za kutafta kazi nimekuwa wahuzuni tu ndani
Dogo tuliza akili.

Utapoteza nature yako sababu ya mapenzi hayo. Kwa umri wako kulia kisa mapenzi ni haki yako ila ukifika 30 basi hapo ukilia tena kwajili ya mapenzi JIPIGE KIFUANI NA KUJIAMBIE WEWE NI CHIZI MAPENZI.

toka magetoni
 
Back
Top Bottom