Watu wapo competent ila kwakuwa hawana uzoefu na interview hizo wameona si vibaya kupata nasaha zenu, kuwahukumu si kuwatendea HAKI.Yaani unataka ukafindishe watoto kwa kupass interview kimchongo???!!!
Ni kweli tunataka uzoefu mkuuWatu wapo competent ila kwakuwa hawana uzoefu na interview hizo wameona si vibaya kupata nasaha zenu, kuwahukumu si kuwatendea HAKI.
Kaka ww ulisha wahi Fanya interview ya tutorial assistant???Naomba kufahamu kama sio kujua.. kuhusu interview za Tutorial assistance zinakuwaje mfano Tutorial assistant ya Community based conservation maswali yanavyoulizwa msaada tafadhali walau nipate japo mwanga sijui kila kitu kuhusu hili eneo
Habari zenu wakuu, msaada kwa aliyewahi kuudhuria written & oral interview ya TA(Chemistry)