kitoto wa vitoto
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 375
- 418
Wadau na wataalamu nawasalimu kwa pamoja,
Nina kashamba kangu mahali mkoa wa pwani Kama heka 20.
Nafikiria huu msimu wa mvua nipeleke huko miti michache nikaoteshe kuzunguka eneo lote sasa mm nimewaza niioteshe miti aina ya eucalyptus.
Je, Inastawi eneo la pwani?
Pia miti hiyo imeruhusiwa kuoteshwa na mtu yeyote?
Kwa yeyote mwenye ushauri wa ziada namkaribisha
Nina kashamba kangu mahali mkoa wa pwani Kama heka 20.
Nafikiria huu msimu wa mvua nipeleke huko miti michache nikaoteshe kuzunguka eneo lote sasa mm nimewaza niioteshe miti aina ya eucalyptus.
Je, Inastawi eneo la pwani?
Pia miti hiyo imeruhusiwa kuoteshwa na mtu yeyote?
Kwa yeyote mwenye ushauri wa ziada namkaribisha