ni ngumu sana kuona ndoa ya kihaya imevunjika... sababu wanaoana wao kwa wao zaidi ya 80%. ngumu sana mhaya kuoa nje ya kagera.
mila nyingi sana za ki africa igbo anaoa igbo, masai anaoa masai, kikuyu anaoa kikuyu,
hii kuchanganya changanya hii imetuletea drama nyingi sana.. huu ni ukweli mchungu.
ni ngumu sana kukutana na asili yako nowdays na mkapendana.. japokuwa hiyo ndio best choice
hata dangote ameoa kwao, dewji kaoa asili yake, gsm, rostam, mafuruki wote wameoa asili yao..
uzinzi tu wa mzee machache umemgombanisha na mchaga mwenzake na kuoa kabinti kasyaka.
ila serious ndoa zile za miaka 100 ni za asili moja.
kama unabisha chunguza matajiri wengi wa africa wenye ndoa zilizodumu wake zao ni asili gani..
hata ukichikua matajiri 100 wa tanzania tu hapa karibu wote wake zao ni asili yao.. hata davis mosha na mashauz yote kaoa kwao na ana stable family