Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,925
Na wajukuu wa Mkwawa hawapo kwenye hilo kundi??Wakinga,wabena,wapangwa...
ni jamiii moja ya watu washamba sana...
Na wajukuu wa Mkwawa hawapo kwenye hilo kundi??Wakinga,wabena,wapangwa...
ni jamiii moja ya watu washamba sana...
Wahehe wana nafuu kidogoNa wajukuu wa Mkwawa hawapo kwenye hilo kundi??
Neno araf ndo miniINASIKITISHA SANA
yaan nyinyi ndio mnaowaharibu wa KINADADA mioyo yao mwishowe wanakuwa wakatili kwa wanaume araf baadae mnakuja kujalamika oooh mademu wa sasa wanazingua hapo umri ushasonga unaikimbiza 40y bila hata mtoto wa kusingiziwa ndo mnaanza kulalamika baada ya hiyo ya kutaka wa KWENU
7bu hapo mwenzako anajua kuwa ataolewa na wewe kumbe wewe una mpango nae kbsa ila unampa imani kumbe unamtaka mbena sijui mkinga mwenzako wala una mpango na huyo MDIGO
sasa ikatokea ukamuaacha akakutana na wanaume wawili tena wenye tabia kama zako si anapoteza hata hio morali ya ndoa mwishowe unawaharibia wenye nia ya kweri wakimtokea anahisi ni walewale tu
badilika ndugu Kuwa mkwelii
km MSICHANA huna mpango nae mchane tu kuwa mpo kwa PART TIME
sio unampa imani ya ndoa kumbe una mpango naye inakuwa inawaumiza sana mioyoni mwao mpaka kiasi inajenga KUTU
km unamtaka mbena sijui mkinga nenda kwenu njombe au KARIAKOO
acha kuwapotezea muda wadada wa wenzio
araf hiyo chaguachagua sanaa mwishowe utapata KOLOMA araf ukome
lazima ila ni Muhimu.Hv kuoa ni lazima??
Nenda huko kwenu ukaoe.
Simama na mkeo.Habari Jf
Mimi ni kijana wa miaka 29,,kulingana na umri natakiwa kuoa na ukweli ni kwamba nimechelewa.
Napenda pia nilipanga kuwa nitaoa mke ambaye ni mzawa wa mkoa wangu wa Njombe(Mkinga au Mbena),mimi ni Mkinga.
Tatizo ni kwamba mimi naishi Dar es Salaam hivyo imekuwa vigumu kuonana au kufahamiana na wasichana wa kabila langu,lakini naamini waliopata wanawake wa nyumbani ndoa zao zimedumu kuliko walio oa makabila ya mikoa mingine.
Nimekuwa na mahusiano na wasichana wa mikoa tofauti na nimependwa na wamekuwa tayari kuolewa ila mimi ni mwoga kuoa makabila yaliyo nje na mkoa wa Njombe
Hadi muda huu naandika hii post nina uhusiano na msichana mzawa wa Tanga.Ni mtumishi wa umma kama mimi
Yeye yuko tayari kuolewa na tuweze kufunga pingu za maisha,lakini mimi nahofia sana kuishi na mtu mkoa tofauti na Njombe
Ushauri tafadhali nataka nioe hata mwaka huu kama nitakuwa mzima
Karibuni
Habari Jf
Mimi ni kijana wa miaka 29,,kulingana na umri natakiwa kuoa na ukweli ni kwamba nimechelewa.
Napenda pia nilipanga kuwa nitaoa mke ambaye ni mzawa wa mkoa wangu wa Njombe(Mkinga au Mbena),mimi ni Mkinga.
Tatizo ni kwamba mimi naishi Dar es Salaam hivyo imekuwa vigumu kuonana au kufahamiana na wasichana wa kabila langu,lakini naamini waliopata wanawake wa nyumbani ndoa zao zimedumu kuliko walio oa makabila ya mikoa mingine.
Nimekuwa na mahusiano na wasichana wa mikoa tofauti na nimependwa na wamekuwa tayari kuolewa ila mimi ni mwoga kuoa makabila yaliyo nje na mkoa wa Njombe
Hadi muda huu naandika hii post nina uhusiano na msichana mzawa wa Tanga.Ni mtumishi wa umma kama mimi
Yeye yuko tayari kuolewa na tuweze kufunga pingu za maisha,lakini mimi nahofia sana kuishi na mtu mkoa tofauti na Njombe
Ushauri tafadhali nataka nioe hata mwaka huu kama nitakuwa mzima
Karibuni
"huu Ukabila sasa hadi 2016 hizi ishu bado zipo?"Habari Jf
Mimi ni kijana wa miaka 29,,kulingana na umri natakiwa kuoa na ukweli ni kwamba nimechelewa.
Napenda pia nilipanga kuwa nitaoa mke ambaye ni mzawa wa mkoa wangu wa Njombe(Mkinga au Mbena),mimi ni Mkinga.
Tatizo ni kwamba mimi naishi Dar es Salaam hivyo imekuwa vigumu kuonana au kufahamiana na wasichana wa kabila langu,lakini naamini waliopata wanawake wa nyumbani ndoa zao zimedumu kuliko walio oa makabila ya mikoa mingine.
Nimekuwa na mahusiano na wasichana wa mikoa tofauti na nimependwa na wamekuwa tayari kuolewa ila mimi ni mwoga kuoa makabila yaliyo nje na mkoa wa Njombe
Hadi muda huu naandika hii post nina uhusiano na msichana mzawa wa Tanga.Ni mtumishi wa umma kama mimi
Yeye yuko tayari kuolewa na tuweze kufunga pingu za maisha,lakini mimi nahofia sana kuishi na mtu mkoa tofauti na Njombe
Ushauri tafadhali nataka nioe hata mwaka huu kama nitakuwa mzima
Karibuni