Naomba ushauri kuhusu dini

@Empress_sheila just so you know safari yako haitakua rahisi hata kidogo , as you can see comments nyingi za lawama, vitisho na kejeli lakini sauti ya Mungu ni kubwa kuliko yote hayo.
Hata Daudi alipingwa mnoooo na kaka zake hadi wakamuuza nchi ya mbali na wakadanganya wazazi kwamba amekufa ila bado haikuzima kusudi la.Mungu juu yake.........
Kama unapenda movie angalia God Calling (netflix) nigerian movie nzuri sana
 
Kuna mwalimu wangu aliwahi kujenga hoja yake kuhusu utatu akasema.
" Ujue ni rahisi kumuelewezsha mtoto kuwa Mungu I mmoja, kuliko kumwambia Mungu amegawanyika mara tatu,"

Nilipouona huu mfano wako ndio Nimekumbuka hii, yaani najiuliza kama sisi watu wazima umeona huwenda hatuja uelewa huo mfano wako, sijui watoto wenu huwa mnawaelewesha vipi?

Hivi unajua tofauti ya sifa na dhati?

Gari - dhati
Linakimbia, jeusi - sifa

Tangu nianze kutumia Jf sijawahi kumuona mkristo akifafanua utatu akaeleweka.
 
Hongera..sikiliza sauti iliyo ndani yako..na uifwate..mimi ningekushauri ukipata muda nenda makanisa tofaut na Roma, naamin hutajuta..na utapata amani na kumjua Mungu wa kweli..mambo ya babu sijui bibi hakuwa hivi wewe haikuhusu..roho/spirit yako ndio itakayohukumiwa..sio maelezo ya babu yako..jamii na fanatics watakucheka na kukudharua..usife moyo..shetani yupo hivyo..acha watoto waende mafundisho
 
Hivi unajua kani la Roma wewe?huu utumwa mbaya sana
Akislimu mkristu mnashangalia takbir ila akibadili muislamu kwenda ukristu inakuwa pepo baadhi yenu waislamu mna kazi sana
Sawa na kupoteza na kupata,sasa wewe utashangilia kupoteza?
 
Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu, na Mungu huyo anaetafutwa hapatikani pasipo kuwa na Imani. Na ukumbuke Imani ilikuwepo hata kabla Dini hazijatufikia huku Africa,

Unaweza umiza kichwa kufikiria kuhusu Dini lakini ujue wazi kuwa ndani ya dini pia kuna madhehebu ambayo kwa namna moja au nyingine yanapingana yenyewe kwa yenyewe ingawa yapo kwenye dini moja.

Hivyo utajikuta upo kwenye kibarua kingine cha kuuliza dhehebu lipi ni sahihi. (Wala huwezi kupata jibu)

Nachotaka kusema ni kuwa jambo kuu na lililo kubwa la kulizingatia ni Imani wala sio Dini.

Chagua pale roho yako inapenda then endelea kuijenga imani yako kupitia hapo

Ukitaka watu wakuambie nini ufanye utaishi maisha ya kinafiki kuwafurahisha watu huku wewe hauna amani ya moyo hata chembe.

Sijui kama nimeeleweka
 
Mkuu dini zote tunamuabudu Mungu na sio kwamba kwa sababu mtu ni dini flani basi ataenda mbinguni isipokuwa matendo yako yatakupeleka na uamini wako,dini zote zinahubiri mambo yaleyale hivyo kama una amani zaidi kwenye ukristo basi fata moyo wako.
Wasiokuwa waisilamu hawatakwenda mbingu,huo ndiyo ukweli mchungu
 
Hiyo Afrika unayoizungumzia Afrika gani?ya kaskazini au kusini?
 
Ninae jamaa tumekutana mazingira ya kazi kama unavyojua Watanzania hatuulizani haya mambo ya dini au kabila nilikuwa nasikia wanamuita Dennis na mimi nikawa namuita hivyo hivyo kumbe jina lake ni Jamal na nililijua hili kupitia kitambulisho chake.

Hapendi kujitambulisha kwa jina la imani yake wala hapendi ajulikane hivyo niliwahi kumdodosa upi ni msimamo wake akasema moyo wake unaamini upande wa pili but atatokaje wazazi wake hawatamuelewa gear anayotaka atoke nayo ni kutafuta mwanamke wa Kikristo ajifanye amependa sana ili abadilishe dini.

Hawa watu wana-exist na wapo baadhi wanatoka kabisa ktk familia strong zilizojaa dini ila ndo hivyo udadisi mwingi wanaziacha.
 
Ndiyo kuna sehemu hujielewi.
Sema jingine!
 
Ninachopinga mimi ni kutishwa kupigwa mkwara kuhusu ukafiri sijui nini! Nimekuja kuomba ushauri wala sina shari na mtu sasa kwanini unijie na hasira? Lakini coment zote nazielewa na nachanganya na zangu! Aman!!
Umeona hasira tu hapo, mche Allah
 
Huyu ni mnafiki tu hajasona Islam wala nini kuandika tu neno Qur'an hawezi sembuse kusoma.
Huyu anataka kupotosha watu tu.
 
Ndiyo maana nakwambia wewe siyo muislam na hukuwahi kuwa muislam, kama ingekuwa muislam hungesema muislam anawezaje kuwa kafiri?
 
Wewe siulisema unaijua Qur'an sasa mbona unaanza tena kusema unasali kule unakoielewa lugha?.
Unafikr ukilitadi wewe uislam utakufa?
Kwendlaaaaaaaaaaa.
 
Ukristo ni ukafiri? Acha upopoma ww shwain. Hivi umewahi kutana na mganga mkristo? au jini la kikristo?

Jibu hayo maswali mawili nijue una upopoma kiasi gani.
Kwani wewe ulishakuta muislam anagalagazwa na mapepo au ulishawahi kukuta kwenye mihadhara ya waislamu watu wanashikwa mapepo.
Je mapepo kwa wakristu hufuata nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…