Naomba ushauri kuhusu dini



Yesu alikwambia wapi kuwa mimi nimelipa deni la wanadamu ??
 
Afadhali brother umekuja. Huyu hapa Jagina nakukabidhi mchukue. Mimi amenishinda tabia.

Anapenda sana vifungu nadhani mtaelewana vizuri zaidi


Umekimbia ????


Sijakuuliza habari ya nyanya sokoni , tunaongelea biblia Na swali ni jee wewe unaziamini zote ni maneno ya Mungu?
 
Hizo ni translation ,zinazotumika kwenye biblia ni translation kutoka lugha ya asili kwenda kingereza au lugha nyingine ,

Ficha upumbavu wako mbele za watu , biblia kwa lugha yake ya mwanzo ipo kama unataka link nakupa usome

Koran Kuna translation zaidi ya 10 na zote zipo tofauti
Ndio nimekupa mfano leo jibril alishuka kwa Muhammad na kamba ila hakuna translation hata moja imesema ukweli
 


Unajua maana ya version ???



Nakusaidia


Translation vs Version - What's the difference?
 
Unajua maana ya version ???
Version inayotumika kwenye biblia maana yake ni translation ,

Na translation kwenye biblia zinaenda na wakati kulingana na maneno yanavyobadilika maana ,

Ndio maana nimekwambia lugha ya asili ya biblia ipo mpaka leo na unaweza soma na ku translate mwenyewe , tena sio lugha original matini zina miaka ma elfu zipo
 


 
Ngoja kesho nikujie na translation za Koran zilivyo tofauti mpaka utastuka , lingine mabano mengi mpaka unasema Allah alisahau hayo maneno kwenye mabano , kumbuka Koran ikisha weka mabano Jua hayapo kwenye lugha ya mwanzo
 
Ngoja kesho nikujie na translation za Koran zilivyo tofauti mpaka utastuka , lingine mabano mengi mpaka unasema Allah alisahau hayo maneno kwenye mabano , kumbuka Koran ikisha weka mabano Jua hayapo kwenye lugha ya mwanzo

Sawasawa uje Na versions tofauti za qurani Kama zipo

Inaelekea hujaangalia hii clip kwani naona bado hujaelewa tofauti ya version Na translation


 
Sawasawa uje Na versions tofauti za qurani Kama zipo

Inaelekea hujaangalia hii clip kwani naona bado hujaelewa tofauti ya version Na translation


Huyo jamaa ni muongo nameshaangalia clip zake nyingi
 
Huyo jamaa ni muongo nameshaangalia clip zake nyingi

Weka ushahidi wa maneno yako!!!!!!!!

Yaani wewe unajua zaidi kuliko huyo Pastor professor Mzungu kwenye hiyo debate?

Ahadi yako uliyotoa jana hujaitimiza
 
ulipoandika tu "kuruani" na kuhusu kusoma uislamu na hakuna mtu anakwambia kitu nikajua tu wewe ni paulo au magdalena umekaa hapo baada ya kushiba chai nzito ya maziwa ya mbuzi na viazi mbatata ukaamua tu kuchafua hali ya hewa .

Hebu mkuu kama wewe ni muislamu hebu thibitisha hapa kwamba wewe ni muislamu au uniambie kuna rakaa ngapi kwenye ku stanji na sajda ngapi kwenye kuchukua wudhu .
 
Nimeingia hiyo Link , nimekuta biblia chache Tu Na nimekuuliza

Tuanzie Na King James Version

Hii biblia iliandikwa mwaka gani Na wapi ?
Ipo original language na translation zaidi ya 20 , imeanza NIV mpaka OJB

KJV -The King James Version, -is an English translation of the Christian Bible for the Church of England, 1611
 
Ipo original language na translation zaidi ya 20 , imeanza NIV mpaka OJB

KJV -The King James Version, -is an English translation of the Christian Bible for the Church of England, 1611

Biblia ya KJV ilianza 1611 Kama ulivyoandika Sasa niambie ilikuwaje ikaanza mwaka huo Na ilikuwa ni tafsiri ya biblia ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…