Naomba ushauri kuhusu Course ya jeshi

Naomba ushauri kuhusu Course ya jeshi

Binamu yangu alibeba mimba akiwa jeshini baada ya form four na kozi fulani chuo. Matron alimrudisha bila hata taarifa nyumbani, tuliambiwa hataki chuo nauli itumwe arudishwe. Hakupewa mawasiliano kambini mpaka alipoanza safari. Mtoto wake wa kike sasa ana miaka 2 hivi.

Kambi iko Arusha sijui ni Makuyuni au kuna nyingine.
Duuu,mbaya hii
 
Mkazanie afanye vizuri kwenye masomo ya sayansi alienda form 5&6 kabla ya chuo ataenda JKT kwa mujibu wa Sheria kule ataona japo Maisha ya jeshi kama atakuwa na moyo wa kupenda kazi hiyo.

Mpeleke nje ya nchi akapige Bachelor of Milltary Science akirudi huku au huko huko atapata kazi ya ndoto yake.
Mkuu umemshauri vizuri sana akitoka JKT Mujibu Ndo ataelewa somo hapo.
 
Back
Top Bottom