- Thread starter
- #21
Mkuu,ninampenda sana,ngoja nitumie maarifa yote kumshawishi abadilishe mtazamoDah mkuu unampenda bintiyo kama wampenda mwambie walau awe mwalimu afundishe jamii njema sio kwenda kuwa chakula cha wakubwa na mwisho magonjwa.
Mkuu,ninampenda sana,ngoja nitumie maarifa yote kumshawishi abadilishe mtazamoDah mkuu unampenda bintiyo kama wampenda mwambie walau awe mwalimu afundishe jamii njema sio kwenda kuwa chakula cha wakubwa na mwisho magonjwa.
Shukrani bossMtu kwenda JKT kwa utawala huu ni matumizi mabaya ya akili,kiufupi huyu jamaa huku majeshini anatoa ajira kwa nadra Sana,
Instead ya kwenda huko bora umfungulie genge mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuMpeleke JKT akajitolee
Mkuu au una ndugu na maofisa wakubwa jeshini kanakwamba dogo anaweza kufanyiwa mpango?Shukrani boss
Hapana
Unachekacheka nani kakutekenya?
Rafiki maneno siyo hayo. Kwanza nakuhitaji PM kama hutojali tafadhali.Unachekacheka nani kakutekenya?
Bachelor of Military Science ujisomeshe tu kisha uje kuajiriwa jeshini.Mkazanie afanye vizuri kwenye masomo ya sayansi alienda form 5&6 kabla ya chuo ataenda JKT kwa mujibu wa Sheria kule ataona japo Maisha ya jeshi kama atakuwa na moyo wa kupenda kazi hiyo.
Mpeleke nje ya nchi akapige Bachelor of Milltary Science akirudi huku au huko huko atapata kazi ya ndoto yake.
Mkuu hiyo kozi ya military science hujipeleki mwenyewe kusoma,JWTZ ndo Wana 'mandate' ya kuchukua vijana na kuwapeleka kule kwa ajili ya kozi.Mkazanie afanye vizuri kwenye masomo ya sayansi alienda form 5&6 kabla ya chuo ataenda JKT kwa mujibu wa Sheria kule ataona japo Maisha ya jeshi kama atakuwa na moyo wa kupenda kazi hiyo.
Mpeleke nje ya nchi akapige Bachelor of Milltary Science akirudi huku au huko huko atapata kazi ya ndoto yake.
Mkuu au una ndugu na maofisa wakubwa jeshini kanakwamba dogo anaweza kufanyiwa mpango?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu,hapo kumpeleka nje ya nchi ndo mitihani haswa,hizo dollars tunazo??Mkazanie afanye vizuri kwenye masomo ya sayansi alienda form 5&6 kabla ya chuo ataenda JKT kwa mujibu wa Sheria kule ataona japo Maisha ya jeshi kama atakuwa na moyo wa kupenda kazi hiyo.
Mpeleke nje ya nchi akapige Bachelor of Milltary Science akirudi huku au huko huko atapata kazi ya ndoto yake.
Kwa jinsi anavyowaona wanajeshi kwenye tv,yaani acha tuuuu.Huyo mtoto anapenda jeshi huenda kwa sababu mbili
1. Amekaa ktk kota za jeshi au jirani na jeshi
2. Amesoma shule ya jeshi
Kweli au uongo?
Asante sana boss,yaani umenipa mwangaza kabisa,ngoja niongee naye apige Kwanza nimshauri asome Kwanza,mambo ya jeshi baadae akishakuwa na elimu yake.Mkuu Majoajosh,
Kwanza hongera Sana Kwa kumpenda mtoto na hongera Kwa kuwa na mtoto mwenye vision, watoto wengi huenda enda tu kama upepo.
Kuhusu jeshi usimkatishe tamaa Ila mpe changamoto zake Kama wakuu wengine wanavyosema ili aamue mwenyewe na akienda ajiandae kisaikolojia na kuwa makin na Sasa hivo vitendo vimepungua Sana ingawa havijaisha.
Ila hakikisha kabla hajaenda huko awe na msingi mzuri wa elimu angalau degree au diploma Ila chini ya hapo majangas. Na Raha ya jeshi lolote uwe na kisomo au fani fulan atapanda cheo fasta hadi kuwa afisa wa jeshi akiwa na juhudi.
Na fani nzuri ya kusoma ili jeshini ili asihenye Sana Ni sayansi na kozi nzuri Ni Kama vle udaktari/clinician, famasia, unesi, lab technician, mtaalam wa mionzi, usingiz na nyinginezo pia akiwa na vifani vya MDA mchache Kama kuendesha gari, kujua na kutumia kompyuta, lugha ya kigeni na n.k
Kila la heri na usimkatishe tamaa mjeshi wetu mtarajiwa.
Thanks bossakomae na sayansi mpaka form6.