Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 714
- 1,527
Habari wakuu kwanza kabisa nawasalimu wakubwa kwa wadogo habari zenu?
Mimi nahitaji msaada wa mawazo yenu na msaada wenu huu ni mhimu sana. Nina Mdogo wangu kasoma EGM Advance kahitimu mwaka huu ana One ya 9 means masomo yote kapata "C"
Sasa shida inakuja kwenye Course ya kusoma maana dogo haelewi kabisa, please ambaye anajua course anazoweza soma kupitia hiyo Combination, yaani Course nzuri zenye fursa za kujiajiri na kuajiriwa.
Naomba Mnisaidie hapo. Pia mnaweza zitaja hata kama zipo nyingi nimrushie mwenyew achague.
Karibuni kwa mawazo.
Mungu awabariki.
Mimi nahitaji msaada wa mawazo yenu na msaada wenu huu ni mhimu sana. Nina Mdogo wangu kasoma EGM Advance kahitimu mwaka huu ana One ya 9 means masomo yote kapata "C"
Sasa shida inakuja kwenye Course ya kusoma maana dogo haelewi kabisa, please ambaye anajua course anazoweza soma kupitia hiyo Combination, yaani Course nzuri zenye fursa za kujiajiri na kuajiriwa.
Naomba Mnisaidie hapo. Pia mnaweza zitaja hata kama zipo nyingi nimrushie mwenyew achague.
Karibuni kwa mawazo.
Mungu awabariki.