Anamalizia revola huyooo...kwa niabaa...acha kupiga PUNYETO mchana bro.....
Hqpana tumsaidie yawezelana kabebeswa maiti bila yeye kujikua.
Anamalizia revola huyooo...kwa niabaa...acha kupiga PUNYETO mchana bro.....
Naweza kuamini. Kila nikijaribu kuhusianisha matukio naona kuna uhusiano.Kuna mahala niliwahi kusoma "Ukiwa unaota upo shuleni na ili hali ulishamaliza shule kitambo sana, kuna asilimia kubwa ya kiashiria cha kurudishwa nyuma katika mambo yako unayofanya hasa ya kimaendeleo". Kurudishwa huko nyuma kunachagizwa hasa na nguvu za giza, kila la kheri mkuu!!
Manake akili yako kuna jambo inalihangaikia bado halijakamilika, kama hivyo unatafuta suluhisho la matatizo yako, usijali pambana ipp siku utavuka hicho kikwazo na utasahau hizo ndotoMi naona kawaida tu kwakweli, I just thank God....
Ila huwa natamani kuelewa maana ya hii ndoto, kuota mara kwa mara nipo shule.
Ahsante sanaManake akili yako kuna jambo inalihangaikia bado halijakamilika, kama hivyo unatafuta suluhisho la matatizo yako, usijali pambana ipp siku utavuka hicho kikwazo na utasahau hizo ndoto
Acha kudanganya watu,Mzee wa upako mwenyewe amefundishwa na muislam,marehemu sheikh YAHYA mtabiri wa nyota.Wewe ni ZUZUShida uliyonayo ni ya kiroho zaidi kwani hiyo kuota upo shule ya msingi ni stagnation kama walivyosema.Kwenda Kwa sangoma ni kosa jingine kwani hujatibiwa umeongezewa matatizo kwani jini au pepo hamtoi mwenzie. Chanzo Cha tatizo ni vitu mchanganyiko unahitaji upate madhabahu yenye nguvu na uweze kuamini na kuuacha uchafu unaoufanya ili upate deliverance.Angalizo maombi ya Kiislam hayatakusadia.
Ruqya ndio kila kituUsimpotoshe Kama unataka ...kusema aende kwa mchungaji gani akaombe ???
Mtaje hapa tumjue...aende akasomewe Ruqya kwa mtu mwenye kaliba atakuja kunishukuru..
Uliwahi kusoma shule? Kama ulipitia shule basi siyo ajabu. Ni wengi tu huwa tunaota mambo yaliyotokea nyuma. Inategemea na state of mind uliyonayo.Mi naona kawaida tu kwakweli, I just thank God.
Ila huwa natamani kuelewa maana ya hii ndoto, kuota mara kwa mara nipo shule.
Kupanga mipango ni kitu kimoja, na kuitekeleza ni kitu kingine. Kama ni kupanga tu basi nakuhakikishia kila binadamu anapanga lakini mipango inayofanikiwa mara nyingi ni michache. Halafu jambo jingine wewe unachanganya ''ndoto za alinacha'' na kupanga mipango. Pia nimegundua ''mipango'' unayopanga wewe akili zako zinadhani ni mizuri kumbe siyo mizuri. Je, kuongea na mtu na akakuhaidi jambo ni kupanga mpango? You cant be serious! Yaani upange mipango kwa kutegemea msaada wa kuomba kutoka kwa mtu halafu asipokupa unasema mipango imeenda vibaya?Habari za muda ndugu zangu.
Hope weekend yenu imekaa njema
Wacha nisipoteze muda niingie kwenye mada.
Mimi ni kijana ambae nimekuwa nikihangaika sana kwenye mambo yangu lakini huwa sifanikiwi inshort huwa nina mipango mizuri mno lakini haijawahi kufanikiwa, unaweza kuongea na mtu akakuahidi jambo fulani ila mwisho wa siku atakuja kukukataa tu.
Yaani Jambo nalianza vizuri but mwisho wa siku huwa ni kufeli tu mpaka huwa najiuliza huwa nina mkosi gani, hata kwenye mahusiano nimekuwa ni mtu wa kuhangaika tu. Maana sijawahi kutulia kwenye mahusiano na mtu hata kwa mwezi mmoja.
Kuna mtu akaja kunishauri niende kwa wataalamu basi nikaenda kwa mtaalamu mmoja akaniambia nyota yangu imechukuliwa ndio maana kila nalofanya haliendi.
Nikamuuliza bei akaniambia nimpe 120k, nikampa hiyo hela akanipa madawa nikaogea nikamaliza but sikuona mabadiliko mpaka sasa mambo yangu bado magumu halafu mara nyingi huwa ninasumbuliwa na ndoto za kuwa shuleni tena primary na classmate wangu niliomaliza nao kitambo kile. Sasa sijui nina shida gani ndugu zangu naombeni ushauri nini nifanye ili mipango yangu iweze kwenda maana naona kama nina nuksi.
Wewe hayajakupata bado na kwa kiufupi hujaijua dunia bado.Mizimu, mashetani ni imani, hakuna uhalisia. Leo unadai kumwona mzimu au shetani, kesho unadai mzimu au shetani kakupanda kichwani, unajitambua?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app