Naomba ushauri katika hili la Mpesa mastercard paypal refunds

Naomba ushauri katika hili la Mpesa mastercard paypal refunds

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
360
Habari wakuu,

Jana nimefanya manunuzi Ebay, bahati mbaya seller akaingia mitini. Nikapewa refund na paypal, lakini mpaka sasa hivi masaa 18 yamepita, siioni kwenye balance yangu ya mpesa mastercard.

Naomba msaada nafanyaje kuipata hiyo refund, au inaingia automatically.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MREJESHO:
Baada ya masaa 48, nimerudishiwa hiyo hela kwenye MPESA mastercard.Hivyo cha msingi mtu ukipata refunds ni kuwa na subira, inarudi kwenye account.
Shukrani kwa wote walionielekeza kuhusu hili jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, huwa nanunua mizigo ebay nachagua vizuri kwa kuangalia reputation ya seller na nikiridhika ndo nanunua, ila katika hili seller aliweka item ambayo alishaiuza(ilikuwa out of stock).Baada ya muda kuona sipati update yoyote ya mzigo kutumwa ndo nikawaomba ebay waingilie kati.Nikarudishiwa hela yangu
Kwanza pole na kupitia wwe utaponya wengi hebu nidadavulie zaidi ilikuwaje
1. umechagua mzigo vzri tu nanukajiridhisha unafaa.
2. Seller utajuaje kuwa ameingia mitini na mwisho
3. Guarantee yako inakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guarrantee ni ukininunua kwa kutumia paypal, lazima hela yako inarudisha ikitokea shida yoyote
Kwanza pole na kupitia wwe utaponya wengi hebu nidadavulie zaidi ilikuwaje
1. umechagua mzigo vzri tu nanukajiridhisha unafaa.
2. Seller utajuaje kuwa ameingia mitini na mwisho
3. Guarantee yako inakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MREJESHO:
Baada ya masaa 48, nimerudishiwa hiyo hela kwenye MPESA mastercard.Hivyo cha msingi mtu ukipata refunds ni kuwa na subira, inarudi kwenye account.
Shukrani kwa wote walionielekeza kuhusu hili jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv M-pesa MasterCard inaweza kupokea pesa?
 
MREJESHO:
Baada ya masaa 48, nimerudishiwa hiyo hela kwenye MPESA mastercard.Hivyo cha msingi mtu ukipata refunds ni kuwa na subira, inarudi kwenye account.
Shukrani kwa wote walionielekeza kuhusu hili jambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaanisha umetumiwa PayPal then ukaileta m pesa MasterCard..???
 
Kwanza pole mkuu ulifanya makosa kuunganisha Vodacom M-Pesa MasterCard maana hakukuwa na umuhimu ungetumia hiyo hiyo M-pesa MasterCard haina shida pia hata refund huwa wanatuma bila tatizo tofauti na PayPal, PayPal ni nzuri lakini hapa kwetu refund huchelewa ama kutoipata ila hii huwakuta wale wenye credit card or bank accounts waliounganisha na PayPal. Vuta subira wanaweza kukutumia maana refund huchelewa kidogo, ila siku nyingine tumia M-pesa MasterCard direct bila kuinganisha na PayPal. Ukiona kimya na umepewa taarifa refund kutumwa nenda Vodashop
 
Back
Top Bottom