Naomba ushauri HR ananitaka kimapenzi

Naomba ushauri HR ananitaka kimapenzi

Umeshapiga ukaona kibamia kinaelea kwenye bwawa sasa ndio unakuja kuomba huruma ya jf. Endelea kupiga mkuu huwezi kujitoa umeshameza ndoano. Vijana mliotoka chuo mnapenda sana kitonga.

Mkuu ningekuwa nimepiga nisingekuja kuomba ushauri hapa trust me
 
Mpimishe ngoma, piga ngozi iyo, acha utoto. Chuo ulifauluje!?
 
Mwambie huna uwezo wa kumhimili. Utamchafua tu. Kimoja chali. Kibamia. Au mwambie husimamishi kwani tatizo nini!?
 
Pole sana kwa majaribu, nakushauri mpuuze, fanya kilichokupeleka.

Mambo yakizidi, basi unaweza kuwasiliana na viongozi wa chama cha wafanyakazi kinachokuwakilisha, utawaeleza changamoto hiyo na vitisho unavyovipata huku ukiwa na ushahidi hata wa meseji.

Hao viongozi watajua mbinu za kuwasiliana na uongozi wa shirika unalofanyia kazi. Lakini pia itaweka tahadhari juu ya mpango wa kukuharibia kazi kwa mambo binafsi na kukufanya kuwa salama zaidi.

Tahadhari: usithubutu kutembea na huyo mama na kama umeanza naye, acha.

Kila la heri.
 
Ushauri wenu ni wa msingi sana.
Muhubiri 7:16 Inasema, usiwe mwenye kupenda haki kupitiliza. Kwa nini kujiangamiza mwenyewe?
Be not overly righteous, and do not make yourself too wise. Why should you destroy yourself?
Ukiweza kuuelewa huu mstari nadhani utajua ni nini cha kufanya.
 
JIULIZE TU WEWE MWENYEWE TU... KWAMBA HUYO HR KESHAWAPENDA WANGAPI TOKA HUKO MWANZO HADI SASA... UKIPATA JIBU HATA LA KUHISIA TU... JITATHMINI WEWE MWENYEWE KISHA UONE KAMA WAWEZA PENDWA NAYE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom