The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,853
Elimu uliopata chuo mbona huitumii?
hahahaJamaa anaonesha muoga sana!!
Mzee najiuliza kama anaweza kunifuata mm mgeni pale ofisini, atakuwa amewafuata wangapi kwa umri wake wa 50+
Ya akiliAfya kwan uyo HR ni mgonjwa au
Watu bwana, eti kaliwa na wangapi,Hiyo ya kujua kapita na wangapi haidhuru maana haina makombo, cha msingi mpige paipu!
Unamfahamu Yusufu wa kwenye biblia?
Kama ndio fanya alichofanya
Yote hayo ya nini mkuu, kama hataki kula mzigo aache kazi, mbona sisi wanaume tunawalazimisha mabinti watupe uchi kazini na wanatupa au wanaamua kuacha kazi?Mkubalie halafu panga sehemu ya kukutana.
ila kabla ya kukutana mrekodi sauti kama mara kadhaa kisha ihifadhi sehemu salama ili isije kutokea.
panga kukutana nae sehemu ambayo siyo ya wazi sana ili nafasi ya kumrekodi ipatikane.
andaa gues/hotel/au sehemu ya kukutania kufanya vile vitu,hakikisha unapatafuta mwenyewe
fanya mpango wa kutega camera ndani na nje weka mtu atakae kurekodi kwa siri sana mkiingia eneo hilo.
muache awe wa kwanza kuvua nguo baada ya hapo mwambie kila kitu kuwa umeweka watu wamewafuatilia na amerekodiwa hivyo utaenda takukuru na kuwaonyesha video zote na kama atakusumbua au kukutisha mwambie video hizo utasambaza kazini,kwa familia yake na mpaka mitandaoni ili liwalo na liwe.
Atakuwa mwanaume wa Darhuyu mvulana mwoga sana atakuwa bado yupo kwa wazazi