Meshack Warioba!Ni kweli kabisa mkuu mimi ninao mshahara; Ila sijaongea hivyo kwa sababu ya mshahara ninao, ni kwamba Vijana wa siku izi hatuna kitu inaitwa patient/uvumilivu;
Huwa hatutaki kuruhusu mchakato upite kwenye lolote lile, Mfano: Mtu umepata kazi, anawaza mambo kibao namna ya kupiga hela, hataki process ya kuhakikisha anatoa muda ili afanye savings afikie malengo.
Alkadhalika kwenye kutafuta kazi ni hivyo hivyo, kuna kipindi cha kusubiri kuanzia ulipoomba kazi had kuitwa interview hadi kuitwa kazini, sasa mtu hata deadline bado anauliza?
Njombe ni kesho kutwa wameishaita upande wa uhasibu
Mkuu ukihama shirika ndo huwa unakata Network na watu? Au unaondokaga kazini kwa vita? Wengine Mungu ametupa hekima, hata tunapoondoka muajiri anashangaa inakuwaje na kuuliza maswali mengi. Ina maana watu wanapotoa mawazo humu JF kwenye mpira & Siasa, jamii ina maana wao wanakuwa wanafanya kazi za Siasa na Michezo?? Humu kuna watu tofauti wenye taarifa mbalimbali. Anyway yote ni mema I have been around lake zone almost 2 years and half, nimekuwa na watu tofauti, naelewa situation ya Zone hii interms of man-power for now, sasa shida yangu ilikuwa wapi mtumish?Sasa naomba kufahamu unafanya kazi Tanesco Mwanza au uko MSD??
Nashukuru kwa udadavuzi uliotukuka! Wasalimie wote hapo tanesco Mwanza! Mpe Hi Pauline Nondi! Mhasibu,Vida Kingalu piaMkuu ukihama shirika ndo huwa unakata Network na watu? Au unaondokaga kazini kwa vita? Ina maana watu wanpotoa mawazo kwenye mpira & Siasa ina maana wao wanakuwa wanafanya kazi za Siasa na Michezo?? Humu kuna watu tofauti wenye taarifa mbalimbali. Anyway yote ni mema I have been around lake zone almost 2 years and half, nimekuwa na watu tofauti, naelewa situation ya Zone hii interms of man-power for now, sasa shida yangu ilikuwa wapi mtumish?
Labda uko humu kufuatilia taarifa za watu, na kwa sababu siombi kitu kutoka kwako nakupa kama ifuatavyo; inshort ni kwamba kesho will travel,nimeshakabidhi kazi tayari, Keshokutwa (tarehe 7 sikukuu) nitafanya vipimo vya afya(nliambiwa niende na cheti cha daktari, nikapewa na vipimo), and Monday 10th nitakuwa naanza mkuu. Nadhani hapo nimekusaidia mtumish wa Mungu.
Kina muro,kiseyu,limo ,salum full kujuana pale Mimi sikutaka hata kwendaTanesco kamlete ni za kutosha,bila kujuana na mtu hupati kazi,iringa wameita tayari wameshaweka watu wao
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Mbaya sana, unamtoa mtu mbali anakuja kwenye interview kumbe una mtu wako tayari, wakati mwingine hata pesa ya kuja kwenye interview amekopa.Kina muro,kiseyu,limo ,salum full kujuana pale Mimi sikutaka hata kwenda
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Hizi Statement nimekuwa nikizisikia sana humu JF; Ni vizuri unapokuwa unaitoa uwe na Vivid example yaan labda majibu yaliwekwa wazi yeye alikuwa wa kwanza na wengine walipata Alama ndogo chini yake ili ueleweke.Kuna jamaa angu anasoma rucu bafit interview kapiga fresh ila kaachwa
Kwa sehemu haupo sahihi sana tunaeongea haya yamekuta toka 2014 tanesco iringa kujuana kwingi sana kina anafanya pale anaitwa juhudi alifeli interview mbeya alikuwa na ndg yake zones ya juu kusini akampeleka iringa na yupo pale na kuna jamaa alijitolea mwaka alipigwa chini akawekwa MTU hyo mosi pili alikuwepo mahasibu mkuu ana chet uhasibu wakati kuna wana CPA wanafanya bill reconciliationMkuu
Hizi Statement nimekuwa nikizisikia sana humu JF; Ni vizuri unapokuwa unaitoa uwe na Vivid example yaan labda majibu yaliwekwa wazi yeye alikuwa wa kwanza na wengine walipata Alama ndogo chini yake ili ueleweke.
Anyway, Let me share experience yangu kwa baadhi ya organization(Hasa watu wanapogongana Alama); wakati mwingine unakuta watu mmefanya Interview written labda, Then unakuta wote mmejibu vizuri, Baadhi ya organization makini, Huwa wanajiongeza hawaangalii majibu tu ila namna ulivyoweka jibu lako, wanaangalia namna ulivyojibu (unavyotoa majibu yako) Sasa unakuta mtu kaulizwa kitu anatoa definition aliyofundishwa chuoni (sio mbaya), Lakini mwingine ameeleza hicho kitu kwa maelezo ambayo ukiangalia unajua tu huyu mtu anakifahamu, sio suala la kutafuta marks; Hata Inerview nyingi za utumish watu huwa wanapotea hapo, anata definition au maelezo ya kitu pasi na uzito.
Hivyo tuwe tunajitahidi Kufahamu vitu, Pia usipende kutumia Definition from google, Jifunze kukielewa kitu ili unapoulizwa unajibu kwa mpangilio wa maneno yako.
Unakuta mtu Swali kajibu poa, alafu anaweka mfano ambao hau-relate na organization husika. yaani ku-connect mfano na taasisi husika ili ilete mashiko inakuwa shida.
Hivyo nimetoa personal experience, ambayo baadae nlikuja kumegewa kuwa graduate wengi hawajui kujielezea/Kuelezea vitu kwa kwa kadiri ya ufahamu wao ila kwa kadiri walivyoona mahali au walivyofundishwa.
Nawasilisha
May be private entity ndo wanafanya ivo ila sio public entityMkuu
Hizi Statement nimekuwa nikizisikia sana humu JF; Ni vizuri unapokuwa unaitoa uwe na Vivid example yaan labda majibu yaliwekwa wazi yeye alikuwa wa kwanza na wengine walipata Alama ndogo chini yake ili ueleweke.
Anyway, Let me share experience yangu kwa baadhi ya organization(Hasa watu wanapogongana Alama); wakati mwingine unakuta watu mmefanya Interview written labda, Then unakuta wote mmejibu vizuri, Baadhi ya organization makini, Huwa wanajiongeza hawaangalii majibu tu ila namna ulivyoweka jibu lako, wanaangalia namna ulivyojibu (unavyotoa majibu yako) Sasa unakuta mtu kaulizwa kitu anatoa definition aliyofundishwa chuoni (sio mbaya), Lakini mwingine ameeleza hicho kitu kwa maelezo ambayo ukiangalia unajua tu huyu mtu anakifahamu, sio suala la kutafuta marks; Hata Inerview nyingi za utumish watu huwa wanapotea hapo, anata definition au maelezo ya kitu pasi na uzito.
Hivyo tuwe tunajitahidi Kufahamu vitu, Pia usipende kutumia Definition from google, Jifunze kukielewa kitu ili unapoulizwa unajibu kwa mpangilio wa maneno yako.
Unakuta mtu Swali kajibu poa, alafu anaweka mfano ambao hau-relate na organization husika. yaani ku-connect mfano na taasisi husika ili ilete mashiko inakuwa shida.
Hivyo nimetoa personal experience, ambayo baadae nlikuja kumegewa kuwa graduate wengi hawajui kujielezea/Kuelezea vitu kwa kwa kadiri ya ufahamu wao ila kwa kadiri walivyoona mahali au walivyofundishwa.
Nawasilisha
Acha tu mkuu hii isikie kwa mwenzioMbaya sana, unamtoa mtu mbali anakuja kwenye interview kumbe una mtu wako tayari, wakati mwingine hata pesa ya kuja kwenye interview amekopa.
Hii post waliomba watu wengi sana wasio na sifa, hata waliopita jkt kwa mujibu waliomba, sijui kama wewe ulikuwa na vigezo.Vip kuhusu wale walioomba SECURITY OFFICER wameitwa?