GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,573
- 108,930
Inasema.....
Tanzania ya pili kuingiza Watalii duniani.
Iko Ukurasa wa Tatu ( 3 )
Na GENTAMYCINE naomba ikithibitika kuwa si kweli basi upesi sana Mhariri wa Gazeti hili la Habari Leo na Mwandishi wa Habari hiyo anbayo nina uhakika ni ya UONGO watuombe Radhi na ikiwezekana wapangiwe Majukumu mengine hata ya Kufanya Usafi Ofisi zao na hasa hasa Maliwatoni ( Toilet ) kwani wameonyesha Udhaifu mkubwa wa Kiuweledi na Usiovumilika kwa Watu tuliobarikiwa Upeo / Akili na kufuatilia Masuala Mtambuka ya Kidunia Kiumakini sana.
Tanzania ya pili kuingiza Watalii duniani.
Iko Ukurasa wa Tatu ( 3 )
Na GENTAMYCINE naomba ikithibitika kuwa si kweli basi upesi sana Mhariri wa Gazeti hili la Habari Leo na Mwandishi wa Habari hiyo anbayo nina uhakika ni ya UONGO watuombe Radhi na ikiwezekana wapangiwe Majukumu mengine hata ya Kufanya Usafi Ofisi zao na hasa hasa Maliwatoni ( Toilet ) kwani wameonyesha Udhaifu mkubwa wa Kiuweledi na Usiovumilika kwa Watu tuliobarikiwa Upeo / Akili na kufuatilia Masuala Mtambuka ya Kidunia Kiumakini sana.