Edc Tz
Member
- Apr 20, 2018
- 60
- 38
Habari Wana JF mimi ni Graphics designer nilikua nahitaji niwe na photo studio nahitaji wazoefu WA mambo wanijuze no vitu gani vya msingi vya kuanza navyo ambavyo vinafaa, Nina kompyuta na Camera. Naomba ufafanuzi bila kuuliza bajeti gani nilonayo nachotaka nivijue hivyo vitu itanisaidia sana