kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,317
- 12,615
Information is power. Wataalamu wa hali ya hewa, TMA watuambie mapema kama mji wa Dodoma ni ukanda unaofahamika kuwa na tabia nchi yenye matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara ili wananchi washauriwe mapema aina ya majengo yanayopaswa kujengwa Dodoma.
Hii ni muhimu sana ili kuepuka kuja kunyoosheana vidole vya lawama kati ya wanasiasa, wachumi na wataalamu wa hali ya hewa kama maafa na hasara nyingine zitakujakutokea kwa kusababishwa na matetemeko ya ardhi.
Ni nyumba zenye urefu gani zijengwe Dodoma? Sehemu gani zijengwe nini au zisijengwe nini? Je, TMA mnasemaje nanyi kuhusu serikali kwenda Dodoma?
Hii ni muhimu sana ili kuepuka kuja kunyoosheana vidole vya lawama kati ya wanasiasa, wachumi na wataalamu wa hali ya hewa kama maafa na hasara nyingine zitakujakutokea kwa kusababishwa na matetemeko ya ardhi.
Ni nyumba zenye urefu gani zijengwe Dodoma? Sehemu gani zijengwe nini au zisijengwe nini? Je, TMA mnasemaje nanyi kuhusu serikali kwenda Dodoma?