Naomba TMA watuambie kama Dodoma kuna hatari ya kukumbwa na tetemeko kabla serikali haijahamia huko

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,317
12,615
Information is power. Wataalamu wa hali ya hewa, TMA watuambie mapema kama mji wa Dodoma ni ukanda unaofahamika kuwa na tabia nchi yenye matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara ili wananchi washauriwe mapema aina ya majengo yanayopaswa kujengwa Dodoma.

Hii ni muhimu sana ili kuepuka kuja kunyoosheana vidole vya lawama kati ya wanasiasa, wachumi na wataalamu wa hali ya hewa kama maafa na hasara nyingine zitakujakutokea kwa kusababishwa na matetemeko ya ardhi.

Ni nyumba zenye urefu gani zijengwe Dodoma? Sehemu gani zijengwe nini au zisijengwe nini? Je, TMA mnasemaje nanyi kuhusu serikali kwenda Dodoma?
 
Information is power. Wataalamu wa hali ya hewa, TMA watuambie mapema kama mji wa Dodoma ni ukanda unaofahamika kuwa na tabia nchi yenye matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara ili wananchi washauriwe mapema aina ya majengo yanayopaswa kujengwa Dodoma.

Hii ni muhimu sana ili kuepuka kuja kunyoosheana vidole vya lawama kati ya wanasiasa, wachumi na wataalamu wa hali ya hewa kama maafa na hasara nyingine zitakujakutokea kwa kusababishwa na matetemeko ya ardhi.

Ni nyumba zenye urefu gani zijengwe Dodoma? Sehemu gani zijengwe nini au zisijengwe nini? Je, TMA mnasemaje nanyi kuhusu serikali kwenda Dodoma?
Nionavyo mimi kabla ya kuhamia Dodoma wangeitwa kwanza wataalamu kutoka nje wafanye utafiti kwanza ufanyike utafiti wasije ujaza magorofa mwisho ikatokea handaki la karne itakapo tokea tetemeko na uelemewa wa ardhi. Sijasomea mambo hayo ni maono tu wajameni.
 
Mimi nipo dodoma ...kwa ufahamu na uelewa wangu dodoma ilikuwa mwisho ghorofa 4 au 3... kutokana na kutitia kwa ardhi na tupo kwenye kupitiwa na bonde la ufa tena kali...cha ajabu miaka hii ya karibun LAPF wamejenga ya ghorofa 6 au 7 ile...ushauri wangu tuzingatie ushauri wa wataalam la sivyo tutakuja kujutia mbeleni...
 
Information is power. Wataalamu wa hali ya hewa, TMA watuambie mapema kama mji wa Dodoma ni ukanda unaofahamika kuwa na tabia nchi yenye matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara ili wananchi washauriwe mapema aina ya majengo yanayopaswa kujengwa Dodoma.

Hii ni muhimu sana ili kuepuka kuja kunyoosheana vidole vya lawama kati ya wanasiasa, wachumi na wataalamu wa hali ya hewa kama maafa na hasara nyingine zitakujakutokea kwa kusababishwa na matetemeko ya ardhi.

Ni nyumba zenye urefu gani zijengwe Dodoma? Sehemu gani zijengwe nini au zisijengwe nini? Je, TMA mnasemaje nanyi kuhusu serikali kwenda Dodoma?
Matetemeko ya ardhi na mambo ya hali ya hewa ni vitu viwili tofauti sawa na mbingu na ardhi! Hivyo TMA hawahusiki kwa namna yo yote na mambo ya miamba!

Hivyo ukitaka ushauri wa mambo ya matetemeko ya ardhi wasiliana na wakala wa jiolojia (Geological Survey of Tanzania - GST)
 
Nionavyo mimi kabla ya kuhamia Dodoma wangeitwa kwanza wataalamu kutoka nje wafanye utafiti kwanza ufanyike utafiti wasije ujaza magorofa mwisho ikatokea handaki la karne itakapo tokea tetemeko na uelemewa wa ardhi. Sijasomea mambo hayo ni maono tu wajameni.

TUITE WATALAAM TOKA NJE????!!!!!! Hivi kwenye kundi la watanzania wote hatuna watalaaam wa miamba mpaka tuagize nje kwenyewe wapi maana hata somalia na bangladesh nako ni nje USHAURI WANGU KWAKO MPIGIE SIMU PROF. MUHONGO ATAKUJIBU HOJA ZAKO ZOTE MAANA YEYE NI PROF WA MIAMBA
 
TUITE WATALAAM TOKA NJE????!!!!!! Hivi kwenye kundi la watanzania wote hatuna watalaaam wa miamba mpaka tuagize nje kwenyewe wapi maana hata somalia na bangladesh nako ni nje USHAURI WANGU KWAKO MPIGIE SIMU PROF. MUHONGO ATAKUJIBU HOJA ZAKO ZOTE MAANA YEYE NI PROF WA MIAMBA
Tumshukuru mungu, kama hili tetemeko lingetoke chini ya ziwa victoria, lingesababisha tidal tsunami ambayo ingeleta uharibifu na vifo vingi alhamdulilahi.
 
Mimi nipo dodoma ...kwa ufahamu na uelewa wangu dodoma ilikuwa mwisho ghorofa 4 au 3... kutokana na kutitia kwa ardhi na tupo kwenye kupitiwa na bonde la ufa tena kali...cha ajabu miaka hii ya karibun LAPF wamejenga ya ghorofa 6 au 7 ile...ushauri wangu tuzingatie ushauri wa wataalam la sivyo tutakuja kujutia mbeleni...
Kwa mawazo hayo basi Japan wangekuwa wanajenga mwisho ghorofa mbili(2) kutokana na jiolojia ya kule
 
Kwa Dodoma ndo penyewe haswaaa.....itabidi uzoee tu huko,ndo ukanda wenyewe.
 
TUITE WATALAAM TOKA NJE????!!!!!! Hivi kwenye kundi la watanzania wote hatuna watalaaam wa miamba mpaka tuagize nje kwenyewe wapi maana hata somalia na bangladesh nako ni nje USHAURI WANGU KWAKO MPIGIE SIMU PROF. MUHONGO ATAKUJIBU HOJA ZAKO ZOTE MAANA YEYE NI PROF WA MIAMBA
Kafulila knows it better...
 
Mbona mnahangaikia mji mkuu Dodoma? Kwa hiyo Sumbawanga au Tabora wakikumbwa na tetemeko sawa mradi mji mkuu uko salama? Natafuta logic ya hii thread siipati.
 
Back
Top Bottom