Mamlaka ya hali ya hewa haihusiki na mambo ya matetemeko.ni sawa na kumuuliza messi akuandikie dawa ya gono.Information is power. Wataalamu wa hali ya hewa, TMA watuambie mapema kama mji wa Dodoma ni ukanda unaofahamika kuwa na tabia nchi yenye matetemeko ya ardhi ya mara kwa mara ili wananchi washauriwe mapema aina ya majengo yanayopaswa kujengwa Dodoma.
Hii ni muhimu sana ili kuepuka kuja kunyoosheana vidole vya lawama kati ya wanasiasa, wachumi na wataalamu wa hali ya hewa kama maafa na hasara nyingine zitakujakutokea kwa kusababishwa na matetemeko ya ardhi.
Ni nyumba zenye urefu gani zijengwe Dodoma? Sehemu gani zijengwe nini au zisijengwe nini? Je, TMA mnasemaje nanyi kuhusu serikali kwenda Dodoma?
TEtemoko ni moja kati mabadiliko ya tabia nchi, matetemeko ya ardhi yanaweza kuadhiri hali ya hewa ya sehemu fulani. Nani ana wajibu wa kutabiri uwezekano wa kutokea tetemeko la ardhi? Doctor wa macho na dokta wangozi ni tofauti lakini wote ni madaktariJe tetemeko lina uhusiano na hali ya hewa? Au TMA wana uhusiano na matetemeko ya ardhi?
Dodoma pia ni prone area to earthquakes coz lipo kwenye ukanda wa bonde la ufa
Uamuzi huo ulitolewa 1973. Vipi Lowasa bado ni fisadi?... Serikali isikurupuke tu na kuhamia Dodoma kwa sababu tu mungu wa Ikulu anataka iwe hivyo...
Nionavyo mimi kabla ya kuhamia Dodoma wangeitwa kwanza wataalamu kutoka nje wafanye utafiti kwanza ufanyike utafiti wasije ujaza magorofa mwisho ikatokea handaki la karne itakapo tokea tetemeko na uelemewa wa ardhi. Sijasomea mambo hayo ni maono tu wajameni.
Ofisi kuu (Headquarter) za GST zipo Dodoma. Let's hope wanashirikishwa ipasavyo katika suala hili la kuhamia Dom
Ofisi kuu (Headquarter) za GST zipo Dodoma. Let's hope wanashirikishwa ipasavyo katika suala hili la kuhamia Dom
Ofisi kuu (Headquarter) za GST zipo Dodoma. Let's hope wanashirikishwa ipasavyo katika suala hili la kuhamia Dom
Ofisi kuu (Headquarter) za GST zipo Dodoma. Let's hope wanashirikishwa ipasavyo katika suala hili la kuhamia Dom
Ofisi kuu (Headquarter) za GST zipo Dodoma. Let's hope wanashirikishwa ipasavyo katika suala hili la kuhamia Dom
Africa hakuna uhusiano kati ya siasa na sayansi na tafiti. Africa inategemea kuendelea kwa kutumia siasa badala ya sayansi na tafiti. Kabla ya kufanya jambo kubwa kama hili la kuanzisha mji mkuu mpya ni vema wanasiasa wangekaa na wanasayansi, watafiti, wachumi, wanasheria na wadau wote muhimu kufanya upembuzi wa kina kwenye hili jambo ambalo bila shaka litahitaji kuwekeza pesa nyingi za wananchi na kuwakusanya watu wengi sana na mali zao nyingi na vitu vyao vingi sana kwenye eneo moja. Bila shaka eneo hilo nyeti namna hii ni lazima lithibitishwe kuwa liko salama na linafaa kwa vigezo vingi badala ya kigezo kimoja tu cha eneo hili kuwa katikati ya nchi. bila kujali ni TMA au ni GST hiyo sio hoja kuu ya uzi huu, hoja ni je wanasayansi, watafiti, wachumi wameshilikishwa vipi katika kulichagua eneo la kujenga makao makuu mapya ya serikali? Haitoshi kusema tu kuwa ni katikati ya nchi. Watu wengi sana na vitu/magengo mengi vikisongamana pamoja ni hatari sana nyakati za disasters kama vile tetemeko, floods, terrorism, fire, etc. Kila jambo linapangwa na Mungu lakini Sayansi nayo inatoka kwa Mungu pia wakawezezwa wanadamu ili kuwahudumia wanadamu wenzao.Ofisi kuu (Headquarter) za GST zipo Dodoma. Let's hope wanashirikishwa ipasavyo katika suala hili la kuhamia Dom
Wewe nawee, kwako kila kitu unawaza vyama vingi tu. kana kama hujiamini vile!! uchaguzi umeshapita na washindi wameshafahamika na wako kazini. Hapa tunajadili kuhusu taifa letu. Tetemeko linapotokea haliangalii Ukawa wala rangi ya sare ya chama. Usiogope kutoa maoni yako huru kwa kuhofia ukawa na uccm sisi ni watanzania mazuri na mabaya kitokea ni yetu woteUko kuna tetemeko la ukawa tu