Naomba ramani ya Zanzibar inayoonyesha kuwa Bagamoyo ni sehemu yake

Ujanja gani uliofanyika!? Wewe ndio hujui sasa halafu kwanza maeneo uliyoyataja hayo hayakuwahi kuwa Zanzibar bali yalikuwa himaya binafsi ya mfalme(sultani) wa oman yakijumuisha maeneo ya Lamu,Mombasa,Kismayo na Zanzibar pia Territory ikaenda mpaka Dubai huko..Kulichofanyika ni kwamba sultan akamuuzia mjerumani maeneo uliyoyataja hayo kwa pesa taslimu..
Hii haihalalishi hoja zako kwamba eti hayo maeneo yalikuwa part ya zanzibar Big Noo! Labda ungesema yalikuwa part ya Oman Sultanate na Zanzibar ikiwemo ndani

Pumba tupu, halafu bado unajiona unajua
 
Ndugu zanguni, mipaka ya nchi hutambuliwa kwa ramani. Hamna nchi isiyo na mipaka yake.

Naombeni ramani inayoonyesha kuwa mipaka ya Zanzibar inafika hadi Bagamoyo.

View attachment 2643144View attachment 2643147


Wabongo bwana ni wagumu Sana kuelewa, sasa mambo ya Raman au imipaka inatokea wapi?

Taarifa ipo clear kabisa, lile eneo ni Lao, either walinunua au walimilikishwa

Hawaamaanishi ni ishu ya mpaka hapana

Tanzania pia ina maeneo Yao inchi nyingine pia,

Mbona ni mambo ya kawaida tu
 
Ndiyo ukisikia miujiza ndiyo hiyo. Wao walisema eti Mbara hawezi kumiliki ardhi Zanzibar.

Leo hii eti wao wamiliki Bara. Inabidi tueleweshwe vizuri hapa

Wabara tupo wengi, wao ni wachache ndio maana wao wanamiliki huku na Sisi hatumiliki kule
 
Ndugu zanguni, mipaka ya nchi hutambuliwa kwa ramani. Hamna nchi isiyo na mipaka yake.

Naombeni ramani inayoonyesha kuwa mipaka ya Zanzibar inafika hadi Bagamoyo.

View attachment 2643144View attachment 2643147
Ukanda wa Pwani wa Tanzania bara wote ni mali ya Zanzibar tukauchukua walivyolia Lia ndio tukawamegea kidogo hapo Bagamoyo

Wacheni msiwabuguzi wasije wakadai eneo lao la ukanda wa Pwani maana nasikia mpaka wa Zanzibar na Tanganyika Kwa Daresalaam upo Mbezi ya kimala

 
Pumba tupu, halafu bado unajiona unajua
Mpuuzi mmoja wewe..Lamu,Kismayo,Zanzibar haikuwa mali ya sultan wa zanzibar?! Hakumuuzia mjerumani eneo la maili kumi ya pwani ya Africa mashariki ? Hiyo ni historia ya darasa la pili tafuta ujifunze,Na ambalo hulijui UAE yote ile kabla ya 1970 ambapo falme kama za Dubai,Abu dhabi n.k ziliungana zote zilikuwa part ya Utawala wa sultan wa oman kabla ya muingereza hajaja kuharibu mambo na kupelekea kuwe na falme kadhaa pale Gulf of Oman kenge mmoja wewe..Kama hujui historia nyamaza usiwaambie watu waongo
 
Sisi na Zanzibar Ni kitu kimoja. Wewe huoni rais wa Zanzibar ameishi na kufanya kazi Tanganyika lkn kirahisi tu ameukwaa urais wa kule. Hata wewe ukiwa mvumilivu Kuna siku utakua mkuu wa wilaya Pemba.
Kabisa mvumilivu hula mbivu !
 
Ukanda wa Pwani wa Tanzania bara wote ni mali ya Zanzibar tukauchukua walivyolia Lia ndio tukawamegea kidogo hapo Bagamoyo

Wacheni msiwabuguzi wasije wakadai eneo lao la ukanda wa Pwani maana nasikia mpaka wa Zanzibar na Tanganyika Kwa Daresalaam upo Mbezi ya kimala

Kimala ndio wapi?
 
Wabongo bwana ni wagumu Sana kuelewa, sasa mambo ya Raman au imipaka inatokea wapi?

Taarifa ipo clear kabisa, lile eneo ni Lao, either walinunua au walimilikishwa

Hawaamaanishi ni ishu ya mpaka hapana

Tanzania pia ina maeneo Yao inchi nyingine pia,

Mbona ni mambo ya kawaida tu

Kweli mbona hata Waarabu wana eneo loliondo?
 
Ukanda wa Pwani wa Tanzania bara wote ni mali ya Zanzibar tukauchukua walivyolia Lia ndio tukawamegea kidogo hapo Bagamoyo

Wacheni msiwabuguzi wasije wakadai eneo lao la ukanda wa Pwani maana nasikia mpaka wa Zanzibar na Tanganyika Kwa Daresalaam upo Mbezi ya kimala

Mzee Mohamed Said vijana hawajui lolote, hebu weka neno hapa wapate elimu.
 
Ukanda wa Pwani wa Tanzania bara wote ni mali ya Zanzibar tukauchukua walivyolia Lia ndio tukawamegea kidogo hapo Bagamoyo

Wacheni msiwabuguzi wasije wakadai eneo lao la ukanda wa Pwani maana nasikia mpaka wa Zanzibar na Tanganyika Kwa Daresalaam upo Mbezi ya kimala

Aisee tuione hiyo ramani inayoonyesha hivyo.
 
Kuna mambo mengi sana yanasongeshwa kimya kimya na wananchi kwa bahati mbaya ama kwa kutokuelewa wameamua kupuuza na kutodadisi/kuhoji mambo ya msingi kwa mustakabali wa nchi yao na kishia kufumbata udaku na majungu tu.
 
Mpuuzi mmoja wewe..Lamu,Kismayo,Zanzibar haikuwa mali ya sultan wa zanzibar?! Hakumuuzia mjerumani eneo la maili kumi ya pwani ya Africa mashariki ? Hiyo ni historia ya darasa la pili tafuta ujifunze,Na ambalo hulijui UAE yote ile kabla ya 1970 ambapo falme kama za Dubai,Abu dhabi n.k ziliungana zote zilikuwa part ya Utawala wa sultan wa oman kabla ya muingereza hajaja kuharibu mambo na kupelekea kuwe na falme kadhaa pale Gulf of Oman kenge mmoja wewe..Kama hujui historia nyamaza usiwaambie watu waongo
Wewe mbwa unajua kujamba. Sultan wa kwanza Zanzibar ni Sayyid Said na aliletwa na Waingereza 1836 toka Mumbai alikokuwa mfanyakazi wa British India Company. Aliletwa na kupewa Ufalme feki ili atumike na Waingereza kujidai kawapa idhini ya kuwa ni wao wakoloni wa East Africa wapate mkataba wa ukoloni wa kuwazuia wafaransa wabaki huko huko Mautius.
 
Back
Top Bottom