MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,302
Inawezekana imemegewa ENEO hakuna kinachoshindika kwa CCM hiiNdugu zanguni, mipaka ya nchi hutambuliwa kwa ramani. Hamna nchi isiyo na mipaka yake.
Naombeni ramani inayoonyesha kuwa mipaka ya Zanzibar inafika hadi Bagamoyo.
View attachment 2643144View attachment 2643147