johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,083
Askofu mkuu wa BCIC Dr Gamanywa amesema ukifuatilia mipaka ya Nchi iliyomo katika ramani ya kale Israel ina eneo kubwa sana kama nchi
Dr Gamanywa anayeendesha Kipindi cha " Ijue Israel" pale WAPO RADIO amesema one third ya Saudi Arabia, half ya Iraq, Syria yote, Jordan yote na half ya Uturuki kwa mujibu wa mipaka katika ramani ya kale ni maeneo ya Israel
Source: Shalom Tv
Nawatakia Sabato njema 😀🌟
Dr Gamanywa anayeendesha Kipindi cha " Ijue Israel" pale WAPO RADIO amesema one third ya Saudi Arabia, half ya Iraq, Syria yote, Jordan yote na half ya Uturuki kwa mujibu wa mipaka katika ramani ya kale ni maeneo ya Israel
Source: Shalom Tv
Nawatakia Sabato njema 😀🌟